Nimecheka sana kicheko cha kufungia Mwaka... Mpiga fimbo mwenzieKama huna bando ni hivi, Ndugai aliupata Uspika kwa fitna dhidi ya Mama Anne Makinda, Ndugai alitibiwa kwa mamilioni ya fedha ughaibuni na hajapona Bado, Ndugai ana tabia ya kuwachapa bakora wapinzani wake...
Na Kali kuliko zote, Ndugai anawashikilia Wabunge 19 wasio na vyama kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano....
Video Iko chini
View attachment 2064271
Hahahahaa wakapigane miti/fimboNimecheka sana kicheko cha kufungia Mwaka... Mpiga fimbo mwenzie
ZinanukaKwani CCM haina vikao vya chama??!!, mbona mnaanika hadharani nguo zenu za ndani??!!🤣
Hahahahaah hutaki??... Shetani akikuletea salamu za upendo zikatae kwa nguvu zote! Shetani hajawahi kuwa na jema hata moja hata kama atakuja kama malaika wa nuru!
Hii ni funga mwaka[emoji1787]
Ila hili swala la Ndugai kutibiwa kwa Tsh. 2B ni moja ya matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.
Hahahahaan nenda kamnyweshe please, tumechoka kukaa nyumbani mapunzikoKwa spana za leo, ndugai anaweza kusahau ratiba ya kunywa dawa…
Ingekuwa kukemea ni rahisi kumaliza matatizo Mungu angeshamkemea shetani kitamboSamia kemea hiyo tabia mnajimaliza wenyewe.
Dah, uwage na huruma kidogo, majibu Gani sasa hayaIngekuwa kukemea ni rahisi kumaliza matatizo Mungu angeshamkemea shetani kitambo
Ngoja tuone January inaanzaje....watatafutana hata kwa tochingumi aliyowapiga ndugai,ni super heavy weight!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa spana za leo, ndugai anaweza kusahau ratiba ya kunywa dawa…
Kwa mimi nilivyo muelewa ndugai katika speech yake halafu na haya yanayo endelea naona ni vitu viwili tofauti naona kuna watu wameamua kuipotisha speech ya ndugai makusudi kabisaNaona amaleki wanatoka shimoni kumshambulia ndugaye....
Unalijua jeshi au una bwabwajaNAWAONA WENYE AKILI JWTZ WANAZIDI KUSAFISHIWA NJIA NA CCM YA KUCHUKUA NCHI, MAONO YANGU HAYAJAWAI KUWA UONGO