Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Wazee wameshika Bango wanawaambia Vijana wawe wabunifu halafu wao wapo tu huko wanaenda kushindwa negotiation za ajabu ajabu wamekomaa Vijana wawe wabunifu wasisubiri ajira za Serikali Ajira Portal PSRS Utumishi bali Vijana wajiajiri wakati huo Wazee wanatembelea LC 300 zilizotokana na Pesa za hao hao Vijana
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Kwani jobu akili zake ziko timamu?ni kijana gani wa kitanzania anayeweza ku negotiate mikataba ya kimataifa kwa elimu gani? hii elimu ya shule za kata ambazo hata miundo mbinu ni mibovu!itakuwa ni kichekesho.vijana ambao hata elimu ya kupambania nchi yao imewashinda.labda mwashambwa na akina sufian
 
Mikataba ni uzoefu , hizo A unazitoa wapi ? yaani kijana atoke chuo tu na A umpeleke kweny mikataba kweli?
Hujaelewa bado Ila Siku 1 utaelewa endelea kuchakata mafaili alimaanisha hawa Vijana wenye A class wasiachwe wanazagaazagaa huku mtaani waingie kuwasaidia Wazee huko Wazee kuna muda akili inakua inachoka Vijana akili ipo active Muda wote na wanakuja na mambo mapya na vitu vipya Wazee wanabakia na vitu vile vile vya zamani eeh sijui unanielewa hawaleti vitu vipya vijana ndio wanaleta vitu vipya vipya hiki weka hivi kile fanya hivi ni Vijana ndio maana kuna umri wa Wazee kustaafu kuanzia miaka 45-60 hapo Mzee inabidi astaafu asije akaji-Joe Burden
 
Hujaelewa bado Ila Siku 1 utaelewa endelea kuchakata mafaili alimaanisha hawa Vijana wenye A class wasiachwe wanazagaazagaa huku mtaani waingie kuwasaidia Wazee huko Wazee kuna muda akili inakua inachoka Vijana akili ipo active Muda wote na wanakuja na mambo mapya na vitu vipya Wazee wanabakia na vitu vile vile vya zamani eeh sijui unanielewa hawaleti vitu vipya vijana ndio wanaleta vitu vipya vipya hiki weka hivi kile fanya hivi ni Vijana
Mikataba ni uzoefu sio A+ , jaribu kuchukua hao vijana wa A+ uone bila ya kufanya vetting .

Elimu ya bongo ndio ya kusifia A+ ebu jaribu kufirikia vizuri ...Taasisi nyingi zinaajiri watu kwa wakati mmoja ila wao wanajua yupi ni bora hata kwenda nae nje kwenye ishu za kiofisi ....Uwezo wa mtu sio A+ kama mnavyofikiria .
 
Mikataba ni uzoefu sio A+ , jaribu kuchukua hao vijana wa A+ uone bila ya kufanya vetting .
Kwa hio hao wanaoenda kupigwa Ndoige kila kukicha hawakufanyiwa vetting au sio? Wametumbukizwa tu Mzee fulani na Mzee fulani haya twendeni kwenye mkataba? Ulimuona yule Mzee wako somebody Mbarawa yupo Zanzibar kapewa kitengo huko sasa alipigwa maswali akawa km mtoto mdogo hana la kujibu yule pia hakufanyiwa vetting?
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Aseme rushwa ya CCM wala hakuna cha A
 
Mikataba ni uzoefu sio A+ , jaribu kuchukua hao vijana wa A+ uone bila ya kufanya vetting .

Elimu ya bongo ndio ya kusifia A+ ebu jaribu kufirikia vizuri ...Taasisi nyingi zinaajiri watu kwa wakati mmoja ila wao wanajua yupi ni bora hata kwenda nae nje kwenye ishu za kiofisi ....Uwezo wa mtu sio A+ kama mnavyofikiria .
Upo sahihi, nchi yetu inateswa na rushwa
 
Kwa hio hao wanaoenda kupigwa Ndoige kila kukicha hawakufanyiwa vetting au sio? Wametumbukizwa tu Mzee fulani na Mzee fulani haya twendeni kwenye mkataba? Ulimuona yule Mzee wako somebody Mbarawa yupo Zanzibar kapewa kitengo huko sasa alipigwa maswali akawa km mtoto mdogo hana la kujibu yule pia hakufanyiwa vetting?
Wale wanatumika kisiasa wapo wenye uwezo mkubwa tu , maswali yapi kayashindwa Mbarawa?


Huyo Mbarawa amekuja kutokana na siasa , ulisikia wapi wabunge wanajua kila kitu ? Nafikiri unanielewa kuna watu wamekuwa wakurugenzi wa mashirika mda mrefu wameenda sana nje kweny ishu za mikataba , hawa ndio walitakiw kuwa mawaziri sio wabunge ambao hawana experiene wanachaguliwa kwa mlengo wa kisiasa .


Hao waliopata A+ ndio maandazi kabisa , kawachukue pale UDSm uone balaa lake .
 
Upo sahihi, nchi yetu inateswa na rushwa
Mimi ni shahidi kuna taasisi jamaa alikuwa na degree ya kutokea diploma ila ndio anajua vitu vingi kwa vile alianza kufanya kazi na diploma halafu akaenda kuchukua Degree , wengine wana Degree na GPA kubwa hamna kitu .

Taasisi nyingine, mtu wa diploma ndio anaongoza kweny majukumu kwa vile ana uzoefu hao degree hata kujibu meseji na GPA zao kubwa hawawezi .
 
A lakini tumboni Kuna kitu? Hakuna mtu mwenye njaa mwenye akili timamu. Shida inaanzia hapo kwenye njaa hapo . Ndiposa nashauru siku za mbeleni nibora tuchague viongozi matajiri Sana ambao hawana njaa sana
 
Watu wako serious kufuatilia kesi ya ngono ya binti wa yombo na kudadavua vipengele husika vya hiyo kesi utafikiri wote mawakili. Utasikia kosa la mtandao la kusambaza ngono, kumuingilia kinyume na maumbile, n.k. lakini kwenye mikataba mibovu ya kuuza ardhi na rasilimali za nchi au kusoma katiba akhaaaa! Tunahitaji deliverance! Watu wanapenda na kufuatilia ngono kuliko hata Mungu
Kwamba kwa kuwa kuna mikataba mibovu basi jinai nyingine zisijadiliwe?
 
Mimi ni shahidi kuna taasisi jamaa alikuwa na degree ya kutokea diploma ila ndio anajua vitu vingi kwa vile alianza kufanya kazi na diploma halafu akaenda kuchukua Degree , wengine wana Degree na GPA kubwa hamna kitu .

Taasisi nyingine, mtu wa diploma ndio anaongoza kweny majukumu kwa vile ana uzoefu hao degree hata kujibu meseji na GPA zao kubwa hawawezi .
Sahihi kabisa
 
Wenzetu wanachukua wanafunzi wenye ufaulu mzuri kulingana na ubora wa elimu zao.Lakini sisi hapa Tanganyika hata ukimuchukua wa class A Bado atapuyanga tu kwenye mikataba ya kimataifa Kwa sababu elimu ya hapa ni grade zero.mtanzania kwenye mkataba ataanza kuangalia kamusi ili ajue kilichoandikwa kinamaanisha nini
 
Ndugai bhana!!
Haya ilibidi ayafanye yeye na wenzie akiwa kiongozi wa muhimili unaojitegemea.
Sasa sahivi hata akisema, nani atamuelewa? Hivi kumbe viongozi wa nchi hii akili zao zinarudi wakishakua nje ya madaraka. Lol
Ana ujinga fulani hivi.
Alivyokuwa kunye position alikuwa chama pro max.
Atulize naniu yake.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
😁😁 kilichofuata alishambuliwa kama mwewe,usipika ukamshinda na adi sasa hasikiki ingawa bado ni mbunge n mshahra anapokea
 
Mimi sina hizo A wala A+ ila ni mwendo wa makarai tu C na D lakini nina akili na exposure kubwa sana yakuweza kunegotiate hiyo mikataba na Taifa likanufaika pakubwa sana.

A na A+ hizi za UDSM sijui Udom nk hazina msaada wowote kama mhusika hana exposure kwenye real business.
Watu wetu wengi ni local experts ambao hawana uzoefu wowote wa international business.
 
Back
Top Bottom