Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Y’a harusi naolewa wizo nimepata mteja wa jumla 🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ ariririiiririir wizo ake jamaniii, aririririri πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ

Kadi usinipe ila kwenye harusi unialike nije kukata mauno na kunywa bia wizooooo πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ ariririiiririir wizo ake jamaniii, aririririri πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ

Kadi usinipe ila kwenye harusi unialike nije kukata mauno na kunywa bia wizooooo πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ‘Œ
🀣🀣🀣 harusi tunayo wizo mwaka wetu huu.!!

Wewe njoo unywe bia za bure ulewe utingishe wowowo 😹😹
 
Ccm inaundwa na jamii ya watanzania walewale na vyama vingine vyote pia vinategemea rasili mali watu hao hao sasa hayo mageuzi tunayapataje

CCM inaundwa na sycophants aina za Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah.

CCM ni mzigo uliohitaji wagumu wa aina za akina Nyerere ku u tame.

Bila CCM kufutwa tukaanza upya hakuna hope, na hasa kama upinzani wenyewe ni huu unaozidiwa busara hata na wamasai wa ngorongoro.

Kwamba ni ukweli usiopingika kuwa bila matumizi ya nguvu, we are in for it to stay!

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Anayasema haya baada ya kushiba.
 
🀣🀣🀣 harusi tunayo wizo mwaka wetu huu.!!

Wewe njoo unywe bia za bure ulewe utingishe wowowo 😹😹
em usinitamanishe hukoo πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ apa wowowo lishaanza kunesa nesa kwa uchu wa bia za bure πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Inavyoo
CCM inaundwa na sycophants aina za Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah.

CCM ni mzigo uliohitaji wagumu wa aina za akina Nyerere ku u tame.

Bila CCM kufutwa tukaanza upya hakuna hope, na hasa kama upinzani wenyewe ni huu unaozidiwa busara hata na wamasai wa ngorongoro.

Kwamba ni ukweli usiopingika kuwa bila matumizi ya nguvu, we are in for it to stay!

Habari ndiyo hiyo ndugu.
Inavyoonekana wanadamu ni walewale najifunza sana kwa jirani zetu Kenya ambapo hawaongozwi tena na chama kikongwa lakini tabia zimebaki kuwa zilezile.

Kama rushwa inatajwatajwa na huku chadema bila shaka tukubali kwamba wanadamu ni walewale hata kama ccm ikafutwa na rangi za kijani na njano zikafutwa kabisa bado hizi tabia tutaziona
 
Inavyoo

Inavyoonekana wanadamu ni walewale najifunza sana kwa jirani zetu Kenya ambapo hawaongozwi tena na chama kikongwa lakini tabia zimebaki kuwa zilezile.

Kama rushwa inatajwatajwa na huku chadema bila shaka tukubali kwamba wanadamu ni walewale hata kama ccm ikafutwa na rangi za kijani na njano zikafutwa kabisa bado hizi tabia tutaziona

Hapana Kenya wana nafuu sana.

Kenya nchi ni ya wananchi. Ukiboronga utatoka si kesho bali leo.

Hebu linganisha na kwetu.

Huku hata tukiwmbiwa tuhamie Burundi so no kukenua tu?

Kenya heshima ipo sana tu hadi Ruto anapiga hodi nyumba Kwa nyumba.

Kenya nani anaweza thubutu kumwita nani mbwa?

Au hata ya Awazi wayaona wewe yakitokea kokote kwingine duniani?
 
CCM inaundwa na sycophants aina za Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah.

CCM ni mzigo uliohitaji wagumu wa aina za akina Nyerere ku u tame.

Bila CCM kufutwa tukaanza upya hakuna hope, na hasa kama upinzani wenyewe ni huu unaozidiwa busara hata na wamasai wa ngorongoro.

Kwamba ni ukweli usiopingika kuwa bila matumizi ya nguvu, we are in for it to stay!

Habari ndiyo hiyo ndugu.
una nguvu gani sasa kama wewe ikiwa fikra, mawazo, maoni na mtazamo wako ni dhaifu na wa kinyonge jinsi hiyo?πŸ’

anza upya wewe binafsi kwanza, uje na mawazo mapya na fikra mbadala zenye nguvu zaidi ya brains za CCM na watu wake, otherwise itakua una abudu imani potofu za kishirikina πŸ’
 
Mikataba ni uzoefu , hizo A unazitoa wapi ? yaani kijana atoke chuo tu na A umpeleke kweny mikataba kweli?
Huyo ni wa kumpuuza tu, alikuwa kiongozi wa muhimili lakini hayo alishindwa kutekeleza kwa vitendo.
 
una nguvu gani sasa kama wewe ikiwa fikra, mawazo, maoni na mtazamo wako ni dhaifu na wa kinyonge jinsi hiyo?πŸ’

anza upya wewe binafsi kwanza, uje na mawazo mapya na fikra mbadala zenye nguvu zaidi ya brains za CCM na watu wake, otherwise itakua una abudu imani potofu za kishirikina πŸ’

Kumbe upo si ulisema huandiki kuhusu watu halafu kumbe ikawa je?

Ninyi si ndiyo hawa uvccm wenye kudhani siasa ni uadui?

Sioni sababu ya Tundu Lisu kuzuiwa na UVCCM kwenda kuweka taji la mauwa kwenye kaburi la Shujaa Magufuli
 
Kumbe upo si ulisema huandiki kuhusu watu halafu kumbe ikawa je?

Ninyi si ndiyo hawa uvccm wenye kudhani siasa ni uadui?

Sioni sababu ya Tundu Lisu kuzuiwa na UVCCM kwenda kuweka taji la mauwa kwenye kaburi la Shujaa Magufuli
mie sio uvccm,
mimi ni mbobevu wa masuala ya kidipomasia, siasa, elimu na dini...

siwez kua na fikra za kishirikina kwamba mwenye mawazo na mtazamo tofauti na wangu wangu ni adui,
that is useless and nonsense to a very cultured, matured, discipline, very focused and visionary leader as I...

kama walizuiana wao mimi nahusikaje kwenye hilo jambo dogo kiasi hicho?πŸ’
 
mie sio uvccm,
mimi ni mbobevu wa masuala ya kidipomasia, siasa, elimu na dini...

siwez kua na fikra za kishirikina kwamba mwenye mawazo na mtazamo tofauti na wangu wangu ni adui,
that is useless and nonsense to a very cultured, matured, discipline, very focused and visionary leader as I...

kama walizuiana wao mimi nahusikaje kwenye hilo jambo dogo kiasi hicho?πŸ’

Heri wewe umewakana ngoja tumsubiri nduguyo Lucasi tuone kama anao ubavu
 
Ndugai alikuwa mbele ya muda!

Nilishangaa sana watz kuungana na chura kiziwi kumzodoa Ndugai eti ili kumkomoa marehemu Magu!

Kauli zile zilipaswa zitushtue watz maana zimetolewa na spika wa bunge ambae anajua karibu kila kitu kwenye nchi. Badala yake tukaungana na chura kiziwi kumtukana Ndugai.

Pale ndio nikaona watz ni wapumbavu sana.
Hii nchi ukipata nafasi piga ondoka, maana watu hawajielewi.

Sisi watz tunachoweza ni
. Ngono
. Uchawi
. Na Majungu tu basi
Hv mbna wakati wa mwendazake hakuna mikataba mibovu iliyoingiwa??
 
Hapana Kenya wana nafuu sana.

Kenya nchi ni ya wananchi. Ukiboronga utatoka si kesho bali leo.

Hebu linganisha na kwetu.

Huku hata tukiwmbiwa tuhamie Burundi so no kukenua tu?

Kenya heshima ipo sana tu hadi Ruto anapiga hodi nyumba Kwa nyumba.

Kenya nani anaweza thubutu kumwita nani mbwa?

Au hata ya Awazi wayaona wewe yakitokea kokote kwingine duniani?
Kwa sehemu una hoja
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Itoshe tu kusema hata hawa watawala wenye akili zilizochoka wakae pembeni wawapishe wenye akili A+
 
Back
Top Bottom