Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa


Kuna watu ni kenge sana mkuu! Yani kila kitu tuliwekewa Wazi lakini bado wanakomaa na bandari sijui nani katuloga aise!!! Wanachoshidwa kuelewa shida sio kwasababu mama samia ndo raisi Hapana, asimamie mambo ya msingi sasa imefika sehemu ukitoa mawazo unaitwa sukuma gang
 
Cpangiw in jiwes voice
 
Ni kweli kila kitu mliweka wazi? Profesa Assad mlimfukuza ili kuficha nini?

 
Dar ni jiji la hovyo kabsa halifai kwa shughuli yoyote ya maana na ndio maana wakazi wake waliowengi akili yao sio sawa. Haiwezekani unafika nyumbani saa 5 za usiku sababu ya foleni then kesho eti utaamka na akili timamu na uwahi kazini.
 
Sasa hapo ndo unaonesha ujinga wako mtwara si wameiangusha na kuinyonya team msoga! Na haya mambo ya kurudi Dodoma ulitaka yafanyike maoni? Bila ujasiri wa kufanya mambo tunabaki pale pale! Yaani unaposema ni uamuzi wa kipuuzi na kipumbavu unamaanisha hata Nyerere na ni mpumbavu? Pumbavu sana ulaaniwe na kizazi chalo!
 
Kwendraaaaaah!
Meko alivokuwa anabomoa nyumba za wananchi makusudi huku akiamrisha nyumba za sukuma gang zisibomolewe alikuwa anabana matumiz yapi? Kujenga liuwanja la kimataifa porin chato na kuhamishia wanyama pori huko chato alikuwa anabana matumizi yepi? Kutembea na maburungutu ya mihela barabaran akiigawa hovyo, kuvamia mabenki ya wananchi na kuyapora alikuwa anabana matumiz yepi? Kutumia pesa za wananchi maskini kununulia waNasiasa wa upinzani na kuwabandika vyeo huku akiwapuuza wana ccm wenzake waliomuweka madarakani alikuwa anabana matumuzi yepi...list ni ndefu..
Kwa taarifa yako hatukai kwa wagogo tulikopelekwa kwa kuburuzwa na kikundi cha watu wachache,, tunarudi zetu town
 
Ndugai unayemuona yupo sahihi si anaunga mkono ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?..
 
Hoja ya Dodoma kuwa mji mkuu imepitwa na wakati ivyo sio lazima mji mkuu uwe Dodoma
 
Wewe Mchaga pumbavu zako! Mmejaa ukabila na chuki! Hapo watu wako wa kimara si walitapeliana tena kwa sehemu kuwa wachaga kwa wachaga! Halafu mje hapa mmulaumu Magufuli? Kama mna haki mama Yenu yupo madarakani nendeni mahakamani!
 
Ndugai unayemuona yupo sahihi si anaunga mkono ujenzi wa bandari ya Bagamoyo?..
Hata kama aliunga mkono sawa! Kwa nini uje hapa kupinga hoja zake na matusi na kejeri huku nyingi hao hao mkitaka uhuru na demokrasia ya kutoa mawazo!
 

Mkuu relax twende taratibu! Nyumba zilivunjwa kwa mujibu wa Sheria mmejenga kwenye hifazi ya barabara! Though sikupendezwa na ili la nyumba kuvunjwa..... enewei unaelewa maana yakutengeza fursa, Kukuza uchumi, nakutanua miji? Ili Ajira ziwepo laziwa tuwe na vyanzo vipya vya mapato watu wanahamisha bahari wewe unashangaa wanyama? Kule kote kungehitaji waajiriwa na vijana wenzangu wangepata ajira..... na uchumi ungeenda mbele hata kama ni taratibu sana lakini kwa magu nilikuwa naiyona nchi ya ahadi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…