abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Wewe Mchaga pumbavu zako! Mmejaa ukabila na chuki! Hapo watu wako wa kimara si walitapeliana tena kwa sehemu kuwa wachaga kwa wachaga! Halafu mje hapa mmulaumu Magufuli? Kama mna haki mama Yenu yupo madarakani nendeni mahakamani!
Kweli Ya Mungu mengiWamehamia Kizimkazi vipo vizuri tu vinapatikana Tena karibu na bahari
Mswahili yake bahari na mwambaoKuna shida sana, ndo maana maendeleo hayapo. Wanaamini maisha yako Pwani mwa Tanzania tu.
Mkuu relax twende taratibu! Nyumba zilivunjwa kwa mujibu wa Sheria mmejenga kwenye hifazi ya barabara! Though sikupendezwa na ili la nyumba kuvunjwa..... enewei unaelewa maana yakutengeza fursa, Kukuza uchumi, nakutanua miji? Ili Ajira ziwepo laziwa tuwe na vyanzo vipya vya mapato watu wanahamisha bahari wewe unashangaa wanyama? Kule kote kungehitaji waajiriwa na vijana wenzangu wangepata ajira..... na uchumi ungeenda mbele hata kama ni taratibu sana lakini kwa magu nilikuwa naiyona nchi ya ahadi mkuu
ajiuzuru kuonyesha masikitiko makubwa
😀😀😀..kunywa maji ushushe makasiriko, ndo mjifunze madaraka ni dhamana tu...ukipewa ujiheshimu na ukumbuke leo unayo kesho huna. Kosa la dikteta limesababisha wote mnachukiwa sasa. Dawa ni muombe poo yaishe, vinginevyo makasiriko yenu kumpinga mama hayasaidiiWasukuma hawajawahi kubebwa kama nyingi we bwege! Nitolee upumbavu wako hapa!
magufuli alikuwa haendekezi huo upuuzi wa Makongamano na warsha usikuwa na tija. Watu wanatafuta kule hela ya serikali tu.
mpe salaaam kwamba na sikukuu tunakula tukiwa dar, dom vumbi sana
[emoji3][emoji3][emoji3]..kunywa maji ushushe makasiriko, ndo mjifunze madaraka ni dhamana tu...ukipewa ujiheshimu na ukumbuke leo unayo kesho huna. Kosa la dikteta limesababisha wote mnachukiwa sasa. Dawa ni muombe poo yaishe, vinginevyo makasiriko yenu kumpinga mama hayasaidii
Asiyemjua Ndugai atamuuza kichwa, Hayati Magufuli hakuchukua hata wiki kaburini kaanza kumponda, huyu jamaa hata kinyonga anaafadhaliHapa mama atafute namna ya kumtoa hata ikibidi kupoteza kichwa hiki,huwa ana kauli za kumpinga Sana Samia.
😀😀..Nimemsamehe mara saba sabini Mkuu..hawakujua walokuwa wanalitenda hawaMsamehe bure,mana kashapandisha mashetani huyo
Huko Chato ulikuwa unamfuata Magufuli?Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?[emoji1][emoji1]
Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.[emoji1][emoji1]
Alishakolea udikteta huyo mzee wa kapernaumu. Unacheza na mzee aliyemuona mke wa Yesu laivu?!!!Kwamba bunge likishatunga sheria kamwe haiwezi kubadilishwa? Anajua anachokisema kweli?
Hongera sana kwa kupata posho ya warsha na kongamano.Naww kale,acha wivu wa kike
Dikteta alikuwa yeye ndo serikali, ndo bunge na ndo mahakama.Kwani hujui ule ni muhimuli mwingine ama nyinyi ndio wale mliishia darasa la pili c
😀😀Ndo manake...bandari ya salama babakee!!Daresalamaa ndo mji mkuu na ndo makao makuu ya nchi