Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa




Mkitoa hoja kwa malalamiko hazitafanyiwa kazi badala yake watoe maelezo ya moja kwa moja kusaidia watendaji. Kama ni mkutano basi utaje, kama ni mradi basi utaje
 
Hujafika Dodoma kabisa wewe sio bure, Dom ni porini!
Hao washazoea kupumuliana na kupakana mijasho kwenye magari ya usafiri huku wakiingia majumbani usiku wakitoka kazini na hiyo ndo akili kwao! Huku wakijitwika ujuaji usio na kichwa wala miguu!
 
Mh tumia kofia yako ya uenyekiti wa ccm muondoshe usipka huyo hakukubali
 
Jinsi Mda unavyoenda ndiyo Mama atakuja jua kwamba Hana support! Pole pole Ana muscles nyuma yake!

Mama yangu Samia, katika watu ambao watakuwa Na Uzee wa uzuni unaweza Kuwa top 10 Kwa Tanzania leaders.
Ukiwasaliti wenzio nawe watakusaliti tu unavuna ulichopanda
 
Inabidi tutunge sheria mpya kuhamishia makao makuu kwenda Singida.
 
Huyo ni mbwa hapaswi kusilipizwa..... Kwani dodoma ndio inaleta ajira kwa vijana maelfu waliomaliza vyuo tangu 2015????
 
Dodoma kumekaa kishamba sana. Ndugai ni mgogo yeye ameshapazoea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…