Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

ni hatua nzuri,muungwana ni yule anayeona aliteleza na kukubali kurekebisha huo ndio uzalendo halisi
 
Nimeamini kwamba wale wanao kwambia tuko nyuma yako unaweza kugeuka na usiwakute
 
Mkuu huu ndio ukweli wenyewe, hawa watu tayari wanataka kutumia fursa kupiga hela enzi za ku sign mikataba mibovu yatari zinaanza kurejeshwa kwa tamaa za hawa watu.
Pili naona Kama vile wamemsoma Mama kuwa ni mtu wa aina fulani fulani Sasa wamegundua udhaifu wake tayari . Wanafanya hivi kwa kujipendekeza wapate kuaminiwa lakini pia wakitumia mwanya huo kupiga hela kwenye miradi mbalimbali hata Kama ni mibovu.

Mama asipokuwa makini na hawa watu atadanganywa mengi kisha watakaa pembeni kumcheka.
 
Unafiki plus

Wangesubiri ata mwaka upite ndiyo waanze unafiki

Ata matanga hayajaisha wanaanza kumnanga shujaa wa Africa
Mkuu hebu Acha utani kabisa , usubiri mwaka tena , unacheza kulingana na mdundo wa Ngoma Mzee Baba , mtu akifa anakuwa helpless Mzee, wa kutomfanyia unafk ni Yesu tuu , wanadamu wenzetu hapa duniani tunashangiliana Kwa fursa mzee
 
Unafiki plus

Wangesubiri ata mwaka upite ndiyo waanze unafiki

Ata matanga hayajaisha wanaanza kumnanga shujaa wa Africa
sio unafiki, kwani nani hajui jiwe al
ifanya maamuzi mabaya ? angejenga bandali hiyo kwa pes alizoteketeza chato baada ya kuona masharti ya msaada magumu
 
Kuna wanasiasa ni wanafki balaa.Embu tujiulize Jiwe angekua hai ndugai angeshauri hivyo!?
 
Huu unafiki sio wa kuchekea, kwa namna hii kila kiongozi atakaekuja atakuwa anakuja na vipaumbele vyake na hawa kina Ndugai wataendelea kujipendekeza tu, kwa namna hii hiyo bandari ya Bagamoyo JK akifa nayo itakufa.
 
Naona ndugai kashakuwa msemaji wa serikali
 
Niliamini Ndugai angekua msaliti wa mwisho lakini daaah...Mwendazake anasalitiwa kwa kasi ya kimondo
 
Mbona sielewi elewi
Hata mimi mkuu......Nimejikuta nawaza hivi: Mzee wa MSoga amerudi kwa kishindo,...mkataba ukasainiwe Dubai huko kwa raha zao!
"Wapi Dr. MWAKYUSA, DR. JANABI,(sijuhi nimepatia jina, yule wa taasisi ya moyo ya Kikwete) Wapi Papa Mobimba mtu ya watu...hahahahaha"
NIMEAMINI HISTORIA KUMBE HUWA INA TABIA YA KUJIRUDIA!
 
Taratibu nmeanza kuelewa
 
HApo kwenye bold....inaanzia kwenye familia, mtaani, makazini hadi TAiFA
 
ama kweli ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko mwanasiasa kuingia katika ufalme wa mbinguni
 
Bado siamini kama Mkuu Ndugai ndio amesema hayo maneno ,ngoja nijipe muda kwanza.

Yesu akamjibu, “Nakuambia wewe Petro, kabla jogoo hajawika leo utakuwa umenikana mara tatu.”
 
Ni unafiki wa kiwango cha PHD. Siungi mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…