SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kudadadeq walahi,yaani hata wewe andunje!!!Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.
Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizaxi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuluopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo
Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?
Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
leo ndio nimeona wanasiasa hawawezi kuiona pepo kwa unafiki wao,huyu huyu ndugai aliwekwa pale na mzee leo anaongea haya kweli
Akitoka paka mapanya ujitawalaKuna kubwa la kujifunza hapa
Daaah! Hivi hii nchi rais ni yule mstaafu au mama? Ila ndugai aseme aliyemshauri mwendazake vibaya ni nani?Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizaxi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuluopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo
Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?
Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
CC:kipara kipyaHata Ndugai kamsaliti mwendazake....kazi kweli.
Tumekwisha! Kibaya zaidi anawatolea mfano aliowaita "majirani zetu wa hapo juu" K E N Y A ambao wapo wanalia kilio cha malaya aliyepewa noti bandia baada ya kuuza papuchi na mkataba wa SGR yao!Hata arobaini badooo!! Mwenye ileclip ya Kinana akiongea na Nape tafadhali!!
Majambazi wakubwa sana nyinyi.Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizaxi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuluopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo
Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?
Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Huyo huyo Ndugaye ndiye kwa kushirikiana na Ally Kesy alisema Magufuli lazima alazimishwe kuongeza ukomo wa kiutawala.Du...kweli kuna mabadiliko na hata mhimili wa Bunge umepata sauti ya kuongea.
Huku ni kuweweseka... Wameona hotuma ya mama inaenda kukaa kooni kwao... WANAHAHA KUPIGA U-TURNSpika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.
Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
Umeandika utumboKwani hao washauri walishikiwa Bunduki hadi kumshauri mwendazake vibaya??
Unaweza kuta washauri wale wale waliomshauri JPM kutotekeleza mradi kwamba hauna manufaa makubwa kwa Nchi ndiyo hao hao wanashauri mradi Mhe. Samia Suluhu kuutekeleza kwa kuwa wamegundua Una manufaa kwa Nchi mara hii.
Tanzania kinachotugharimu ni Unafiki, Woga na kuendekeza Majungu.
Imagine kama mradi ungetekelezwa 2016 leo hii si ingekuwa Meli zimeanza kushusha na mzigo hapo. Tumekubali kuyumbishwa na siasa uchwara hatimaye tumepoteza zaidi ya maTrilioni kwenye Ushuru na Kodi.
Kwani bandari ya DSM inashuka mizigo gani boss?