denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Huo mkataba wa bandari ya Bagamoyo huyo Ndugai anayajua masharti yake?
Maana anaonekana ana tabia ya kudandia vitu tu ili awafurahishe mabosi wake.
Kuwa na mwanasiasa wa aina hii ndio maana tumeshindwa kuondokana na adui ujinga zaidi ya miaka 50 baada ya kupata uhuru.
Kama yeye kwa nafasi yake miaka yote bungeni bado mjinga, je wananchi wake kule Kongwa watakuwa na hali gani, ndio maana kila wakati wanaendelea kumchagua awe muwakilishi wao.
Maana anaonekana ana tabia ya kudandia vitu tu ili awafurahishe mabosi wake.
Kuwa na mwanasiasa wa aina hii ndio maana tumeshindwa kuondokana na adui ujinga zaidi ya miaka 50 baada ya kupata uhuru.
Kama yeye kwa nafasi yake miaka yote bungeni bado mjinga, je wananchi wake kule Kongwa watakuwa na hali gani, ndio maana kila wakati wanaendelea kumchagua awe muwakilishi wao.