Kwema Wakuu!
Nimesoma Uzi WA ndugu
Covax unaowakataza kama siô kuwatahadharisha Wanaume kutokuwaanzishia Wake au Wenza waô biashara kwani lazima itafilisika.
Ushauri wa Covax siô Sahihi Kwa asilimia 99%.
Soma pia:
Hamna kitu kinachoua mitaji ya watumishi kama kufungulia mke biashara. Msidanganyike!
Biashara Mbali na mtaji, inahitaji nidhamu, uzoefu, Kumiliki tà arifa Sahihi Kwa Wakati Sahihi, Mbinu za kuhudumia solo(wateja) na Kulinda wateja na kutafuta wateja wapya, ubunifu katika kukabiliana na changamoto mpya ikiwemo washindani wapya n.k.
Kusema Watu wasiwape Wake zà o mtaji Kisa Wanawake kadhaa walioshindwa kuendesha biashara siô HAKI na NI Upotoshaji Mkubwa.
Jinsia haina athari yoyote katika suala la biashara. Biashara inaweza kufanywa na Mtu yeyote Yule Bila kujali jinsia Yake.
Ninawafahamu Wanaume à mbao Wake zà o NI manesi, waalimu, wahasibu, yà ani Wake walioajiriwa à mbao walichukua mikopo na kuwapa waume zà o ili wafanye biashara na hao Wanaume wôte ninaowafahamu Karibu wôte wamepasua matajiri, wameshindwa kuendesha biashara. Na wameishia kununua Magari à mbayo wanayatumia Kwa shughuli za ufuska.
Covax kuiweza biashara kunachangiwa na mambo meñgi lakini kûbwa kuliko NI uzoefu katika biashara Husika.
NI Vizuri ungeshauri kuwa kama Mwanaume au mwanamke anataka kumfungulia mwenza wake biashara au mradi Basi NI muhimu kufuata Kanuni za kitaalamu kuhusu biashara au mradi Husika
Acha Nile Kwanza Kande hapa