Ndugu Covax ninawajua wanaume wengi waliopewa mitaji na wake zao lakini wakashindwa Kufanya biashara. Hiyo dhana yako sio sahihi

Ndugu Covax ninawajua wanaume wengi waliopewa mitaji na wake zao lakini wakashindwa Kufanya biashara. Hiyo dhana yako sio sahihi

Mmenishtua 😔😔

Nimesoma headinga mtaji, mara naitwa mara mbili nkajua kuna mtu ataka kunipa mtaji....🚶🚶🚶

Mko wapi kwani 😃
min -me ndo kaanza kukuchokoza mimi nimemuiga tu😀😀

Pole kwa mshituko dear.

Niko namalizia kukuna nazi wee uko wapi kwani!!?😀
 
Hakuna biashara inayokufa Kwa kuangalia Jinsia

Biashara inaweza kufa hata ikifanywa na mtu mwenye jinsia zote

Muhimu kuwa na strategic inayoeleweka na kufanya self assessment ya Kila wakati ili kuweza kujua namna ya kuboresha

Hivi Siku hizi hakuna wale mademu wa Enzi za Profesa ya Zali la Mentali? Wale wageti Kali na mboga saba 🙌
Wale mademu wa zali la mentali wame Isha, wame Baki yule wa hii ngoma ya gari
 
Mwalimu mmoja aliolewa na kijana mlala hoi, mwalimu alimpenda kama alivyo. Mwalimu akachukuwa mkopo ili kumfungulia mume wake biashara ya duka. Badala ya kutunza biahara kumbe yule kijana alikuwa kidumu cha jimama fulani, Jimama likatafuna ile biashara na mtaji ukafa. Masikini mwalimu mpaka leo anakatwa mshahara wake.
 
Shida ni pale unapodhani yaliyokupata wewe ndo yatawapata na mengine,labda suala la single maza ndo liko general
 
Kwema Wakuu!

Nimesoma Uzi WA ndugu Covax unaowakataza kama siô kuwatahadharisha Wanaume kutokuwaanzishia Wake au Wenza waô biashara kwani lazima itafilisika.

Ushauri wa Covax siô Sahihi Kwa asilimia 99%.

Soma pia: Hamna kitu kinachoua mitaji ya watumishi kama kufungulia mke biashara. Msidanganyike!

Biashara Mbali na mtaji, inahitaji nidhamu, uzoefu, Kumiliki tàarifa Sahihi Kwa Wakati Sahihi, Mbinu za kuhudumia solo(wateja) na Kulinda wateja na kutafuta wateja wapya, ubunifu katika kukabiliana na changamoto mpya ikiwemo washindani wapya n.k.

Kusema Watu wasiwape Wake zào mtaji Kisa Wanawake kadhaa walioshindwa kuendesha biashara siô HAKI na NI Upotoshaji Mkubwa.

Jinsia haina athari yoyote katika suala la biashara. Biashara inaweza kufanywa na Mtu yeyote Yule Bila kujali jinsia Yake.

Ninawafahamu Wanaume àmbao Wake zào NI manesi, waalimu, wahasibu, yàani Wake walioajiriwa àmbao walichukua mikopo na kuwapa waume zào ili wafanye biashara na hao Wanaume wôte ninaowafahamu Karibu wôte wamepasua matajiri, wameshindwa kuendesha biashara. Na wameishia kununua Magari àmbayo wanayatumia Kwa shughuli za ufuska.

Covax kuiweza biashara kunachangiwa na mambo meñgi lakini kûbwa kuliko NI uzoefu katika biashara Husika.

NI Vizuri ungeshauri kuwa kama Mwanaume au mwanamke anataka kumfungulia mwenza wake biashara au mradi Basi NI muhimu kufuata Kanuni za kitaalamu kuhusu biashara au mradi Husika

Acha Nile Kwanza Kande hapa
Huwezi mzidi Covax ama Natafuta Ajira kwenye kuzungumzia hizi issues za mahusiano,.......Hawa jamaa ni next level ndugu,......kubali tu wamekuzidi kwenye huu upepo
 
Mwalimu mmoja aliolewa na kijana mlala hoi, mwalimu alimpenda kama alivyo. Mwalimu akachukuwa mkopo ili kumfungulia mume wake biashara ya duka. Badala ya kutunza biahara kumbe yule kijana alikuwa kidumu cha jimama fulani, Jimama likatafuna ile biashara na mtaji ukafa. Masikini mwalimu mpaka leo anakatwa mshahara wake.

Hayo mambo kwèñye jamii Yapo mengi mno
 
Back
Top Bottom