Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Upo wapi,,,, , kwa sauti ya Evelyn Salt 🤣
Mmenishtua 😔😔Nipo namalizia kufua ntakubipu (in Evelyn Salt voice)
😀
Nafagia fagia hapa ntakupigiaaaa 😹min -me ndo kaanza kukuchokoza mimi nimemuiga tu😀😀
Pole kwa mshituko dear.
Niko namalizia kukuna nazi wee uko wapi kwani!!?😀
Nipo namtumbo😅😅Mmenishtua 😔😔
Nimesoma headinga mtaji, mara naitwa mara mbili nkajua kuna mtu ataka kunipa mtaji....🚶🚶🚶
Mko wapi kwani 😃
Ndo maana unakatika sikusikiiii 😹Nipo namtumbo😅😅
Wale mademu wa zali la mentali wame Isha, wame Baki yule wa hii ngoma ya gariHakuna biashara inayokufa Kwa kuangalia Jinsia
Biashara inaweza kufa hata ikifanywa na mtu mwenye jinsia zote
Muhimu kuwa na strategic inayoeleweka na kufanya self assessment ya Kila wakati ili kuweza kujua namna ya kuboresha
Hivi Siku hizi hakuna wale mademu wa Enzi za Profesa ya Zali la Mentali? Wale wageti Kali na mboga saba 🙌
Hatari sana Mkuu 😅Wale mademu wa zali la mentali wame Isha, wame Baki yule wa hii ngoma ya gari
Huwezi mzidi Covax ama Natafuta Ajira kwenye kuzungumzia hizi issues za mahusiano,.......Hawa jamaa ni next level ndugu,......kubali tu wamekuzidi kwenye huu upepoKwema Wakuu!
Nimesoma Uzi WA ndugu Covax unaowakataza kama siô kuwatahadharisha Wanaume kutokuwaanzishia Wake au Wenza waô biashara kwani lazima itafilisika.
Ushauri wa Covax siô Sahihi Kwa asilimia 99%.
Soma pia: Hamna kitu kinachoua mitaji ya watumishi kama kufungulia mke biashara. Msidanganyike!
Biashara Mbali na mtaji, inahitaji nidhamu, uzoefu, Kumiliki tàarifa Sahihi Kwa Wakati Sahihi, Mbinu za kuhudumia solo(wateja) na Kulinda wateja na kutafuta wateja wapya, ubunifu katika kukabiliana na changamoto mpya ikiwemo washindani wapya n.k.
Kusema Watu wasiwape Wake zào mtaji Kisa Wanawake kadhaa walioshindwa kuendesha biashara siô HAKI na NI Upotoshaji Mkubwa.
Jinsia haina athari yoyote katika suala la biashara. Biashara inaweza kufanywa na Mtu yeyote Yule Bila kujali jinsia Yake.
Ninawafahamu Wanaume àmbao Wake zào NI manesi, waalimu, wahasibu, yàani Wake walioajiriwa àmbao walichukua mikopo na kuwapa waume zào ili wafanye biashara na hao Wanaume wôte ninaowafahamu Karibu wôte wamepasua matajiri, wameshindwa kuendesha biashara. Na wameishia kununua Magari àmbayo wanayatumia Kwa shughuli za ufuska.
Covax kuiweza biashara kunachangiwa na mambo meñgi lakini kûbwa kuliko NI uzoefu katika biashara Husika.
NI Vizuri ungeshauri kuwa kama Mwanaume au mwanamke anataka kumfungulia mwenza wake biashara au mradi Basi NI muhimu kufuata Kanuni za kitaalamu kuhusu biashara au mradi Husika
Acha Nile Kwanza Kande hapa
Huwezi mzidi Covax ama Natafuta Ajira kwenye kuzungumzia hizi issues za mahusiano,.......Hawa jamaa ni next level ndugu,......kubali tu wamekuzidi kwenye huu upepo
Shida ni pale unapodhani yaliyokupata wewe ndo yatawapata na mengine,labda suala la single maza ndo liko general
Mwalimu mmoja aliolewa na kijana mlala hoi, mwalimu alimpenda kama alivyo. Mwalimu akachukuwa mkopo ili kumfungulia mume wake biashara ya duka. Badala ya kutunza biahara kumbe yule kijana alikuwa kidumu cha jimama fulani, Jimama likatafuna ile biashara na mtaji ukafa. Masikini mwalimu mpaka leo anakatwa mshahara wake.
Ndoa zinatafutwa kwa nguvu sana na jinsia KE. Ukisimuliwa.mengine unaweza kimbia.Wadada WA Watu Maskini wanaingia mamikopo Siku hizi Kisa kutaka kuolewa
Wacha weeC:C Binti Kimoso na kukuanzisha Stationary 😀😀😀😀