Ndugu yangu alishinda betting milioni 7 na laki 4 mwezi wa kwanza, kwa sasa anatia huruma, hii michezo ina maendeleo kweli?

Ndugu yangu alishinda betting milioni 7 na laki 4 mwezi wa kwanza, kwa sasa anatia huruma, hii michezo ina maendeleo kweli?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Nilitegemea pesa hizo zitamsaidia kwamba mwaka umeanza vizuri kwake walau afanye cha maana afungue hata biashara lakini nimekuja kumfatilia naona hakuna la maana alilofanya,

Kwa machache nayoyajua:

  • alinunua simu ya laki 9 kaiuza kwa hasara kubwa mno
  • alinunua Tv kubwa nzuri, kama kainunua dukani ni milioni 1 na laki 2, kaiuza kwa hasara kubwa mno
  • mwanzoni alikuwa anabeti kwa pesa ndogo, aliposhinda anabetia mpaka laki
  • alinunua kifriji cha kutunzia katoni za grand malt, ndio yalikuwa maji kwake (hanywi pombe)

Cha maana alichofanya labda kanunua pikipiki mpya, sizijui vizuri bei ila itakuwa inakaribia milioni 2, maybe aifanye iwe bodaboda
 
Wewe unashangaa huyo wa M7. Yupo mmoja wa kijiweni alimtekenya muhindi akacheua 44M ilikua mwezi wa 11. Amejenga kafikisha nyumba kwenye renta alikua anatoa pesa 250k kila baada ya masaa 3.

Juzi kati amepita anatafuta anayeuza simu ya button. Nadhani tatizo kubwa ni mentality ya hawa washindi shida sio kamari.
 
Kuushinda umasikini kunahitaji kuushinda uraibu

Ikiwa MTU anabeti maana yake yupo katika uraibu tayari.

So hapo alipo ata-stumble Sana mpaka atakapoanza kuelewa kuwa umasikini ni matokeo ya mental illness.

Mwambie haya maneno kuwa
"Don't take ur eyes off in the prize"

If you need gambling ,gambling in ur business
 
We unasema betting ?! Kuna dogo alipewa hela za mirathi milioni saba na chenji.Picha linaanza hana atm card akatoa dau mtu yoyote wa bank atakayefanikisha kumtolea laki 5 anampa laki mbili.Sisi mabrother zake wamtaa ukimsalimia haitiki anadai hakujui.Alimwaga msosi akadai ni mchafu na unanuka .Anaokota makopo kwa sasa.Nimechoka kusimulia.
 
Nilitegemea pesa hizo zitamsaidia kwamba mwaka umeanza vizuri kwake walau afanye cha maana afungue hata biashara lakini nimekuja kumfatilia naona hakuna la maana alilofanya,

Kwa machache nayoyajua:

  • alinunua simu kali kaiuza kwa hasara kubwa mno
  • alinunua Tv kubwa nzuri kaiuza kwa hasara kubwa mno
  • mwanzoni alikuwa anabeti kwa pesa ndogo, aliposhinda anabetia mpaka laki
  • alinunua kifriji cha kutunzia grand malt, ndio yalikuwa maji kwake (hanywi pombe)

Cha maana alichofanya labda kanunua pikipiki, akiwa na akili maybe aifanye iwe boda
Na usichojua Kamari hawashindi wenye akili tulivu km zako bali wengi mambumbumbu eti mmasai kapita na billion za Sportpesa, Akili fyatu tu ndio wanaoshinda sababu mara nyingi hujiona hawana cha kupoteza hata wakiliwa ndio maana akaanza kubet laki wakati zamani alikua anaweka stake 50/100 shillings kwa kila mkeka
 
Mwingine alilamba M za kutosha baada ya mshua wake kuvuta.Kipindi hicho kuna kota ya nhc inauzwa m8 tu akadai kakiwanja kadogo mnooo yeye tajiri hawezi ishi hapo.Alikuwa analala na wanawake wawili daily eti anamuiga Iddi Amini.Akaenda mjini Dar kurudi anaanza kutuletea tumichongo twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu,eti hatujasanuka tu tunalipa kinyama.Msenge yupo mashineni hukoo anasogeza gunia za mpunga sasa hivi.
 
Kuushinda umasikini kunahitaji kuushinda uraibu

Ikiwa MTU anabeti maana yake yupo katika uraibu tayari.

So hapo alipo ata-stumble Sana mpaka atakapoanza kuelewa kuwa umasikini ni matokeo ya mental illness.

Mwambie haya maneno kuwa
"Don't take ur eyes off in the prize"

If you need gambling ,gambling in ur business
Kuna Jamaa anashusha ghorofa huku mtaani kwa Pesa za kubet,
 
Mwingine alilamba M za kutosha baada ya mshua wake kuvuta.Kipindi hicho kuna kota ya nhc inauzwa m8 tu akadai kakiwanja kadogo mnooo yeye tajiri hawezi ishi hapo.Alikuwa analala na wanawake wawili daily eti anamuiga Iddi Amini.Akaenda mjini Dar kurudi anaanza kutuletea tumichongo twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu,eti hatujasanuka tu tunalipa kinyama.Msenge yupo mashineni hukoo anasogeza gunia za mpunga sasa hivi.


I guess financial education is real enemy in most of people

And sometimes poverty is catalyst by mind problems
 
Mwingine alilamba M za kutosha baada ya mshua wake kuvuta.Kipindi hicho kuna kota ya nhc inauzwa m8 tu akadai kakiwanja kadogo mnooo yeye tajiri hawezi ishi hapo.Alikuwa analala na wanawake wawili daily eti anamuiga Iddi Amini.Akaenda mjini Dar kurudi anaanza kutuletea tumichongo twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu,eti hatujasanuka tu tunalipa kinyama.Msenge yupo mashineni hukoo anasogeza gunia za mpunga sasa hivi.
Maisha yana sarakasi nyingi sana na kurogwa pia kupo, unapambana kuyaweka Maisha sawa alafu kuna mshenzi yupo sehemu sehemu anapambana kukuroga
 
Back
Top Bottom