Ndugu yangu alishinda betting milioni 7 na laki 4 mwezi wa kwanza, kwa sasa anatia huruma, hii michezo ina maendeleo kweli?

Ndugu yangu alishinda betting milioni 7 na laki 4 mwezi wa kwanza, kwa sasa anatia huruma, hii michezo ina maendeleo kweli?

Yan mwamba mpaka amemiliki boda bado unaona hajafanya kitu? Mpe maua yake aisee labda kama na ww ulitaka upate mgao. Kuna watu hawajawahi hata kununua shati na hiyo hela ya betting yeye ana kitu cha kusimulia aisee
 
Back
Top Bottom