nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Hata waki what?hata wakifa nisiwapigie nishauri ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata waki what?hata wakifa nisiwapigie nishauri ndugu
Chukua huu ushauri mkuu...Ukiweza anua tanga maana ukiendelea kumdai halafu akadinda mnaweza kuleta mpasuko kati yenu utakaodumu vizazi vyenu vyote
Samehe ila usirudie tena! Utapata nyingine nyingi zaidi
Ndugu wengi ni wapumbavu sana! Mimi miaka 15 hajanilipa Hela yangu na ni shemeji yangu amemuoa dada yangu! Alikuja anaomba utamhurumia sana na ni mtumishi wa uma! Qmmmmk!Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Nyingi sana, washirikishe wazazi wake, ukiona wanazingua ingia kwenye zizi jichagulie ng'ombe wa thamani hyoMilion tano nisamehe
Ongea na wazee kwanza kabla ya kwenda kwenye sheria.. Kama ndio tabia yake hata huko kwenye sheria atakusumbuaBroo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Hao ndio watazidi kuharibu sasaChukua huu ushauri mkuu...
Halafu nina wasiwasi hata wazazi wako upande wake...
Kaa chini mtengenezee sinema mkuu. Mtokee kwa nyuma huyo. Tafuta watoto wa mjinMwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Jibu ni Rahisi tu,Usipende kuunganisha Kila Kitu na IMANI.
Ili Karama imrudie Nawewe ubarikiwe, ni lazima uhakikishe WEWE NI MSAFI HAUNA DHAMBI YA AINA YOYOTE.
Samehe alafu uendelee na uzinzi, uongo, n.k uone kama utabarkiwa.
Unadhan kwann Tajiri wa kuzulumu anabakia kua Tajiri mpaka kufa, Nawewe ulodhukumiwa unabaki kua Masikini mpaka kufa??
Wakati mwingine tuamini kama Akili na matumizi ya Akili.
Mahakama ilianzishwa na Mungu mwenyewe.
Halafu mkuu hata ukienda mahakani huyohuyo atakubali. ila kukupa sasa na hata akikupa tarajia vita kubwa sanaSiwez fanya hivo Kwa Pesa kuanzia 1 M.
Kikwetu huwa tunasema imejila utumbo! Hivyo ndugu yangu nisamehe tu usonge mbele! Maisha ni haya haya hakuna mengine!Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Kwa hiyo unamshauri ahamie kwangu na mke wake?Hamia kwake hadi iwe kero atakupa!
Always lend what you can afford to loose.Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Ukimkopesha pesa ndugu, hesabu kama umetoa tu.Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Mkuu uko positive sana na maishaUkiweza anua tanga maana ukiendelea kumdai halafu akadinda mnaweza kuleta mpasuko kati yenu utakaodumu vizazi vyenu vyote.
Samehe ila usirudie tena! Utapata nyingine nyingi zaidi
Niliwah kuona jamaa mmoja alifanya hvyo,alimtembelea kaka ake ,akapikiwa msosi alipomaliza kula wakazirusha ngumi,mpaka mke wa kaka ake akatoka nje anapiga ukungaMuite sehemu mzichape sana uondoe machungu, sababu hawezi kukulipa