Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha Wajifunze.Mdogo wangu anapitia hio kitu
Pia husimdekeze. Exercise Tough Love.Ntamhudumia kwa mahitaji yote kwa sababu hali yake inaniumiza sana
Hapo juu pitia proceduresMdogo wangu anapitia hio kitu
ikiwa karidhia mwenyewe na kwamba yeye binafsi anawiwa kuacha pombe lakini anashindwa, ukimpeleka huko utakua umesadia sana, atapona kabisa na kua mtu mwema na mwenye afya njema furaha tele. Na hakika atakushukuru na kukuombea sana kwa Mungu.Natumai wote hamjambo humu.
Nina ndugu yangu amekuwa mlevi wa kupindukia, hapo awali alikuwa ni mtu smart na mpambanaji wa maisha, sijui kitu gani kimemkuta, anakunywa pombe muda wote hata kazi ameacha kwa sababu ya pombe...
Ni Arusha mkuuPia husimdekeze. Exercise Tough Love.
Kama yuko Dar es salaam, mpeleke mbali na ambako hajulikani na hamjui mtu, sense of stigma inaweza trigger akarudia endapo atakua karibu na watu anaowajua na wenye uwezo wa kumpa alcohol.
....
Mlevi hakosi hela ya kunywa pombe... Hata kuuza vifaa vya nyumbani huwa wanauzaAlikua anafanya kazi gani?? Je unaposema anakunywa pombe yoyote unamaanisha na mataputapu?? Pesa ya kununulia pombe anatoa wapi??
ikiwa karidhia mwenyewe na kwamba yeye binafsi anawiwa kuacha pombe lakini anashindwa, ukimpeleka huko utakua umesadia sana, atapona kabisa na kua mtu mwema na mwenye afya njema furaha tele. Na hakika atakushukuru na kukuombea sana kwa Mungu...
kiburi umeanza liniSifuti na lolote hunifanyi
Mdogo wangu anapitia hio kitu
Ni Arusha mkuu
Hiyo ni dawa tu mzee