Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlevi aliyofika stage hiyo,hawezi kosa kunywa,ata Kama Hana elaAlikua anafanya kazi gani?? Je unaposema anakunywa pombe yoyote unamaanisha na mataputapu?? Pesa ya kununulia pombe anatoa wapi??
Marahabaaaaaaaaaa ndiomana nimekwambia asijue mwingine zaidi yako! Matokeo yake yapo hiv ,, atatapika kupita kias namaanisha atatapika kweli miksa kulia yaan Kila akisikia harufu lazima ateme mzigo kama una huruma usifanye!Unamaanisha kinyesi cha binadamu?
Shemeji yenu yupoje ni mwanamke wa kibiblia au ni cycle sin family maana Sio Kila mwanaume ana filter ya kublock negativity toka kwa toxins women thus wengine ushinda bar wanakimbia toxins toka kwa wanawake marappers.Ni Mwanamke umri 44 yrs, ana familia japo ni complicated, pombe anakunywa yoyote ambayo ipo karibu yake.
Private ya nyokoKama na yeye mwenyewe kadhamiria kuacha,nicheki private ndugu yako ata pona,ulevi ni ugonjwa
Marahabaaaaaaaaaa ndiomana nimekwambia asijue mwingine zaidi yako! Matokeo yake yapo hiv ,, atatapika kupita kias namaanisha atatapika kweli miksa kulia yaan Kila akisikia harufu lazima ateme mzigo kama una huruma usifan
Marahabaaaaaaaaaa ndiomana nimekwambia asijue mwingine zaidi yako! Matokeo yake yapo hiv ,, atatapika kupita kias namaanisha atatapika kweli miksa kulia yaan Kila akisikia harufu lazima ateme mzigo kama una huruma usifa
Sawa mkuuKama na yeye mwenyewe kadhamiria kuacha,nicheki private ndugu yako ata pona,ulevi ni ugonjwa
Kuacha pombe kunawezekana iwapo tu mwathirika ataamua mwenyewe kuacha. Nimeona walevi wengi sana wanaacha pombe kwa mashinikizo lakini baada ya muda hurudia. Mkiweza kumshawishi yeye mwenyewe aamue kuacha tumieni ujanja huu: Huu ni mfano: Kama kila siku nakunywa chupa kumi za bia basi aanze kupunguza kidogo kidogo kila baada ya interval wiki au wiki mbili, au hata tatu. Wiki tatu za kwanza anapunguza chupa moja, baada ya wiki tatu, anapunguza moja, anaendelea hivyo hivyo kupunguza chapa moja moja au hata nusu chupa kila baada ya wiki tatu mpaka afikie kwenye sifuri. Cha maana ni yeye kuamua na kuweka nadhari kutokushawishika kuongeza.Natumai wote hamjambo humu.
Nina ndugu yangu amekuwa mlevi wa kupindukia, hapo awali alikuwa ni mtu smart na mpambanaji wa maisha, sijui kitu gani kimemkuta, anakunywa pombe muda wote hata kazi ameacha kwa sababu ya pombe.
Watu wengi wamenishauri nimpeleke sober house {Kwa kiswahili sijui inaitwaje}
Najipanga nimpeleke japo ni gharama lakini nitajitahidi kwa sababu hali yake inanihuzunisha sana, wahusika wameniambia anaweza kukaa huko wa muda wa miezi mitatu hadi minne, na atakuwa sawa kabisa.
Wenye uzoefu na sober house, unaweza kuwa ulimpeleka ndugu yako au kama una uelewa wowote je zinasaidia kubadilisha maisha ya waraibu wa mihadarati na kurudi kwenye hali zao za kawaida?
Nb.Maoni yenu ni muhimu,
Natanguliza shukrani za dhati.
Asanteni.🙏🙏
Umeambiwa mlevi ni mwanamke mwenye 44yrsShemeji yenu yupoje ni mwanamke wa kibiblia au ni cycle sin family maana Sio Kila mwanaume ana filter ya kublock negativity toka kwa toxins women thus wengine ushinda bar wanakimbia toxins toka kwa wanawake marappers.
Hiyo inakwenda sambamba pia kama ukipata hata maziwa ya nguruwe / mbwaUnamaanisha kinyesi cha binadamu?
Ukimpata mke mfariji maisha Huwa mepesi hata ukitembea kwenye milimaMaisha tu ndio yamemfanya hivyo ,jaribu kukaa nae umuulize tatizo nn?
Maisha yqna siri kubwa sana .
Yah ulevi ni ulevi!Umeambiwa mlevi ni mwanamke mwenye 44yrs
Ameolewa,kama kaolewa mme wake yupoje ni mwanaume wa kibiblia au ni primitives,wapo wanaume primitives wakimpa mwanamke Hela wanataka change au wanahesabu hadi nyama kwenye chungu.Umeambiwa mlevi ni mwanamke mwenye 44yrs
Ushauri mzuri ila huyu anakunywa pombe za kienyeji, mf Mbege, gongo, Banana,, viroba yani yoyote atakayokutana nayoKuacha pombe kunawezekana iwapo tu mwathirika ataamua mwenyewe kuacha. Nimeona walevi wengi sana wanaacha pombe kwa mashinikizo lakini baada ya muda hurudia. Mkiweza kumshawishi yeye mwenyewe aamue kuacha tumieni ujanja huu: Huu ni mfano: Kama kila siku nakunywa chupa kumi za bia basi aanze kupunguza kidogo kidogo kila baada ya interval wiki au wiki mbili, au hata tatu. Wiki tatu za kwanza anapunguza chupa moja, baada ya wiki tatu, anapunguza moja, anaendelea hivyo hivyo kupunguza chapa moja moja au hata nusu chupa kila baada ya wiki tatu mpaka afikie kwenye sifuri. Cha maana ni yeye kuamua na kuweka nadhari kutokushawishika kuongeza.
Ushawahi kunywa pombe au umeandika kwa kutumia notes za waadhili wasabato waliokuwa wanawakalilisha vyuoni?Kuacha pombe kunawezekana iwapo tu mwathirika ataamua mwenyewe kuacha. Nimeona walevi wengi sana wanaacha pombe kwa mashinikizo lakini baada ya muda hurudia. Mkiweza kumshawishi yeye mwenyewe aamue kuacha tumieni ujanja huu: Huu ni mfano: Kama kila siku nakunywa chupa kumi za bia basi aanze kupunguza kidogo kidogo kila baada ya interval wiki au wiki mbili, au hata tatu. Wiki tatu za kwanza anapunguza chupa moja, baada ya wiki tatu, anapunguza moja, anaendelea hivyo hivyo kupunguza chapa moja moja au hata nusu chupa kila baada ya wiki tatu mpaka afikie kwenye sifuri. Cha maana ni yeye kuamua na kuweka nadhari kutokushawishika kuongeza.
Sidhani kama itafanya kazi. Sana sana wanakudanganya ulishe watu uchafu.Unamaanisha kinyesi cha binadamu?
Mume wake ni wale wale ni mnywaji japo yeye si km mkewe, ni jobless yani kwa kifupi ndoa yao ni complicated, hata watoto wao tunawalea sisi ndugu zakeAmeolewa,kama kaolewa mme wake yupoje ni mwanaume wa kibiblia au ni primitives,wapo wanaume primitives wakimpa mwanamke Hela wanataka change au wanahesabu hadi nyama kwenye chungu.