Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Watu wa dar huwa tunakukaribisha ukiwa mkoani, ukifika tu stendi simu ndipo huwa inapotea na tunakuwa bsyBro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
ali sema ana fungua biashara ya kuuza miguu ya kuku na firigisi, hivyo kwa ujuzi wangu ninge kuwa mpishi mkuu.alikuambia uje mjini kufanya nini?
sijambo broo, aisee leo nime yatimba niko hapa stendi ya magufuli.We jobles hujambo?
Si bora ange niambia, halafu sijaja kinyonge niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona.Watu wa dar huwa tunakukaribisha ukiwa mkoani, ukifika tu stendi simu ndipo huwa inapotea na tunakuwa bsy
Kama umekuja na hayo basi soon utapokelewa halafu ukaachwe pale ubungoSi bora ange niambia, halafu sijaja kinyonge niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona.
Raisi wetu hapo ndio umeshafika, Haina haja ya kumtafuta nusu mmarekani, hapo tafuta zako boksi tu la kujiegeshea baadaeπ π ... Ukiona haujala na hauna pesa Anza kula vichwa hapo, Kila abiria utakae mtoa nje hadi kwenye gari fulani na akakata ticket unakula buku ya commission, ukipiga vichwa kumi unapata zako kitita cha alufu kumi, unakula mwezi mzimaπ πBro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
Aisee ndugu zangu mni samehe, nili hisi nime pata mchongo.Kiongozi umezingua sana....kwel we wakuingia mjini kinyonge wakat majobless wa dar tungeweza kukupokea hata na msafara wa bajaji
Ko mwanagu we si uli sema uko daslam?, mbona Kama una nikataa chafu yangu?Raisi wetu hapo ndio umeshafika, Haina haja ya kumtafuta nusu mmarekani, hapo tafuta zako boksi tu la kujiegeshea baadaeπ π ... Ukiona haujala na hauna pesa Anza kula vichwa hapo, Kila abiria utakae mtoa nje hadi kwenye gari fulani na akakata ticket unakula buku ya commission, ukipiga vichwa kumi unapata zako kitita cha alufu kumi, unakula mwezi mzimaπ π
πππππππππali sema ana fungua biashara ya kuuza miguu ya kuku na firigisi, hivyo kwa ujuzi wangu ninge kuwa mpishi mkuu.
Kumbe huko wezi sana?, sema nina sime hapa ita nisaidia.Kama umekuja na hayo basi soon utapokelewa halafu ukaachwe pale ubungo
Wanangu wa daslam hapa ndio tuonyeshane uzalendo, msi nikatae mwanenu.Kikubwa hajakuacha kwenye mataa. Ingekua amekuacha pale Ubongo ndio noma.