Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.

nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.

Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.

Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.

Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.

Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.

Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.

Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
Mkuu, umefika fikaje Magufuli stendi ?
Kama unatokea Nanjilinji tulitegemea tukuone upo stendi ya Mbagala au Temeke.
 
Aisee ndugu zangu mni samehe, nili hisi nime pata mchongo.

Bado niko stendi Wanangu, nime vaa shati jeupe ila kutokana na kufubaa liko Kama jekundu.
Mkuu hilo shati mjini wanaliita whitedent ni swaga za kinyamwezi
Eneweyi subir nimuulize mwanangu wa makumbusho kama tunaweza tukaliuuza ukapata hela ya kuanzia
 
Ushasema umekuja na msosi soon unapokelewa ondoa shaka. Ila kuwa makini wakikupeleka sehemu kunywa soda na mizigo ukaiacha kwenye bajaji halafu jamaa akajifanya anaenda uani au pokea simu jua unaachwa hapo hapo
Bro wasi jichanganye, niko na sime na mkuki hapa.

Sema sogeeni basi wanangu, haya sio mambo rahisi.
 
Bro wasi jichanganye, niko na sime na mkuki hapa.

Sema sogeeni basi wanangu, haya sio mambo rahisi.
Nasogeaji kwa mfano wakato daily nakutambia humu nina gari maisha mazuri, naishi masaki. Nyie watu wa mikoani tunawajua mmekuja kutuchungulia tu. Wakamate wengine mimi siji. Unataka uone kuwa naishi huku mbali kwenye chumba hakina hata cealing board?
 
Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.

nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.

Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.

Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.

Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.

Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.

Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.

Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
Pole. Mpigie simu Otherwise unajaribu kufurahisha Jukwaa
 
Back
Top Bottom