Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekupokea ila bahati mbaya nimesafiri ghafla niko huku tanga katika msafara... Alisikika kijana mmoja baada ya kusikia aliyemkaribisha kafika stand ya magufuli.Wanangu wa daslam hapa ndio tuonyeshane uzalendo, msi nikatae mwanenu.
Cha ajabu kafunga pm yake ghafla, hata simu haipatikani tena.[emoji23] noma sana
La hasha huu si uungwana.
Haya matusi Sasa mkuu, nishauri nifannyeje mkuu.Korosho zaingia Dar.
Mkuu, umefika fikaje Magufuli stendi ?Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
Mkuu hilo shati mjini wanaliita whitedent ni swaga za kinyamweziAisee ndugu zangu mni samehe, nili hisi nime pata mchongo.
Bado niko stendi Wanangu, nime vaa shati jeupe ila kutokana na kufubaa liko Kama jekundu.
Wanangu wa faida, hebu sogeeni niko hapa karibu na muuza juice.Ningekupokea ila bahati mbaya nimesafiri ghafla niko huku tanga katika msafara... Alisikika kijana mmoja baada ya kusikia aliyemkaribisha kafika stand ya magufuli.
Ushasema umekuja na msosi soon unapokelewa ondoa shaka. Ila kuwa makini wakikupeleka sehemu kunywa soda na mizigo ukaiacha kwenye bajaji halafu jamaa akajifanya anaenda uani au pokea simu jua unaachwa hapo hapoWanangu wa faida, hebu sogeeni niko hapa karibu na muuza juice.
😂😂Uje feri huku, usisahau kubeba boksi la kulalia baadae🤣🤣🤣Ko mwanagu we si uli sema uko daslam?, mbona Kama una nikataa chafu yangu?
Mkubwa si huwa una sema uko daslam?, kijana wako yame nifika hebu tuma teksi ini ijie.Pole sana
Bro wasi jichanganye, niko na sime na mkuki hapa.Ushasema umekuja na msosi soon unapokelewa ondoa shaka. Ila kuwa makini wakikupeleka sehemu kunywa soda na mizigo ukaiacha kwenye bajaji halafu jamaa akajifanya anaenda uani au pokea simu jua unaachwa hapo hapo
feri ndio wapi tena?, au una maanisha sheli?😂😂Uje feri huku, usisahau kubeba boksi la kulalia baadae🤣🤣🤣
Yuko zake mechi ya mzizima derby.Cha ajabu kafunga pm yake ghafla, hata simu haipatikani tena.
Bro Azam sport ndio nyumba gani huku daslam?Yuko zake mechi ya mzizima derby.
fungua Azam Sports HD utamuona kavaa shati jeusi na pensi.
Nasogeaji kwa mfano wakato daily nakutambia humu nina gari maisha mazuri, naishi masaki. Nyie watu wa mikoani tunawajua mmekuja kutuchungulia tu. Wakamate wengine mimi siji. Unataka uone kuwa naishi huku mbali kwenye chumba hakina hata cealing board?Bro wasi jichanganye, niko na sime na mkuki hapa.
Sema sogeeni basi wanangu, haya sio mambo rahisi.
Pole. Mpigie simu Otherwise unajaribu kufurahisha JukwaaBro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012