cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kuna wa kuoa maeneo ya karibu.. Atakukaribisha vizuri na utalalia vizuri..
😂😂😂 Ujanja wote sema huu ni utani.. Khaaaaaa...
😂😂😂 Ujanja wote sema huu ni utani.. Khaaaaaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa kuwa na huruma, mimi sipa jui Huku.karibu mjini dogo
Kaka hayo tuta yazungumza baadae, ila Kikubwa niokoeni ndugu yenu.Nasogeaji kwa mfano wakato daily nakutambia humu nina gari maisha mazuri, naishi masaki. Nyie watu wa mikoani tunawajua mmekuja kutuchungulia tu. Wakamate wengine mimi siji. Unataka uone kuwa naishi huku mbali kwenye chumba hakina hata cealing board?
Madam mbona sija elewa, wa kuoa nani tena?.Kuna wa kuoa maeneo ya karibu.. Atakukaribisha vizuri na utalalia vizuri..
😂😂😂 Ujanja wote sema huu ni utani.. Khaaaaaa...
Naagiza msafara wa majobless na NETO upo njiani kaa geti la kutokea stendiBro Azam sport ndio nyumba gani huku daslam?
Sikia, tukienda mkoa tunapeleka mikate. La kufanya ngoja niibuke ni mikate nikipe nauli unipe huyo mbuzi, jogoo, unga na vingine ulivyobeba urudi nyumbani.Kaka hayo tuta yazungumza baadae, ila Kikubwa niokoeni ndugu yenu.
Madam kwako ndio wapi?, nita shukuru Sana uki nisaidia.Maskini, umeachwa kwenye mataa 😅
Njoo kwangu nikupooze machungu hata na kajuisi ka baridi.
Bro siwezi kukubali huo ni zaidi ya wizi, yaani unipe mkate na nauli.Sikia, tukienda mkoa tunapeleka mikate. La kufanya ngoja niibuke ni mikate nikipe nauli unipe huyo mbuzi, jogoo, unga na vingine ulivyobeba urudi nyumbani.
Bro mbona hamfiki Sasa, hapa nime anza kula mihogo niliyo beba.Naagiza msafara wa majobless na NETO upo njiani kaa geti la kutokea stendi
Kwangu Mbezi beach, njoo kijana mzuri mzuri nikuonyeshe mambo ya mjini.Madam kwako ndio wapi?, nita shukuru Sana uki nisaidia.
Na sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona.
Sasa si uni tumie taksi au bodaboda, maana huku mi sipajui.Kwangu Mbezi beach, njoo kijana mzuri mzuri nikuonyeshe mambo ya mjini.
[emoji23]Bro mbona hamfiki Sasa, hapa nime anza kula mihogo niliyo beba.
Bro maji yasha zidi unga, mwanenu nime yatimba.Oya hivi upo serias?
Dah wanangu mna zingua.[emoji23]
Gari letu limepata pancha ndio tunarekebisha hapa.
Kaka simu haipatikani, hapa naulizia jina lake la rasi ila hajulikani.Pole. Mpigie simu Otherwise unajaribu kufurahisha Jukwaa
Wewe ni Intelligent businessman unaanzaje kulilia. Tumia hiyo intelligence yako kupambana hadi kieleweke hata kama huyo jamaa yako aliyekualika jijini ataingia mitini.Oya bro Half american hebu acha matani, ujue mi mgeni hili jiji?.