makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Hahahaha Huyu Rais mzembe sanamakutupora msikilize Huyu kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Huyu Rais mzembe sanamakutupora msikilize Huyu kijana
Aisee hiyo goba ndio naisikia leo!, vipi iko karibu na hapa nilipo?.Usijali kijana mzuri, na hiyo mizigo yako acha tu nije nikufuate mwenyewe. Nitapita shortcut ya goba, nipe kama lisaa limoja hivi.
Tafuta mgahawa ukae, ujiagizie chakula nikifika nitalipia 🙂🤗.
Ndio zilikuwa shughuli zangu hizo, ila yeye aka niambia ni ushamba.Leta number yake nikusaidie kumpigia?!
Ila kaka si ungebaki huko bush ujaribu ata kulima😂😂😂
Ebu njoo huku chini kwenye vinywaji upate faru joni kwanza, nipo kibanda cha kwanza hapa kuna muhudumu kavaa kobazi.acha masihara mkuu, nili jua una sema kuwa Ume mtuma bodaboda ani pokee.
Bro mimi siwezi kufanana na huyo Half american yeye ni nusu albino a.k.a kubwa la manusu.Half american katika ID nyingine.
Kaka Kama ume niona si usogee?, maana nikija wata Iba hii mizigo ya magunia.Nimekuona njoo kushoto kwako utaona nimepark kluger v nyeusi nimeshusha vioo
Mkuu nikija wata Iba hii mizigo ya maguniaEbu njoo huku chini kwenye vinywaji upate faru joni kwanza, nipo kibanda cha kwanza hapa kuna muhudumu kavaa kobazi.
Yupo wapi mgeni nikampokee?Mimi nimetoka kidogo ila ngoja nikuitie babu yako Grahams aje akupokee
Aisee nyie ndio wazee wenye hekima huku mjini, mzee wangu niko hapa stendi ya magufuli toka saa 7 mchana.Yupo wapi mgeni nikampokee?
Ndiyo natoka kuvuta Kiko na Wazee wenzangu hapo Magomeni
Anitumie map ya mahali alipo ili niende chap nikampokee
Sisi Wazee tuna msemo wetu, kwamba "Mgeni aje, Mwenyeji apone" 😜
Natumai mgeni atakuwa amekuja na debe kadhaa za Mchele kutoka Kahama 🤗
Kaka ni hatari na nusu, nika jua nime pata mchongo kumbe mchongoma.Jobless tunamitihani sana kwa kwel🤔
Bro haukai daslam?😂😂😂😂😂😂😂 daaah
Wengi ni jobless tu sema hizi I'd za kujificha zina mambo🤣🤣🤣Kaka ni hatari na nusu, nika jua nime pata mchongo kumbe mchongoma.