Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Nipo Dar, ila nyie madogo mnanichekeshaga sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umebeba nini ?
Bro afadhali kabisa uko daslam, ila hili suala sio la kucheka ni shida tu.

Sijaja kivivu niko na mbuzi jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi.
 
Brother GENTAMYCINE na Chizi Maarifa hii ni last option kwangu, ila Sina jinsi.

mdogo wenu niko stendi ya magufuli hapa, naomba mni pokee.

Sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi yai.
 
Rafiki BabyMamy hauko daslam?, maana nime achwa stendi ya magufuli hapa.

Sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo2 mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi yai.
 
Back
Top Bottom