Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Kuongozana na mbuzi na jogoo mjini ni aibu😂😂ngoja Kijana masikini aje
😂
Ni muheshimiwa Rais huyo wa chama Cha Majobles, ndiyo maana sijasema chochote.
Usitake nikose teuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongozana na mbuzi na jogoo mjini ni aibu😂😂ngoja Kijana masikini aje
😂
Mpe heshima yake amekwama stendi🤣🤣Ni muheshimiwa Rais huyo wa chama Cha Majobles, ndiyo maana sijasema chochote.
Usitake nikose teuzi.
Sister nita mbeba mabegani, huyo Kijana masikini si ndo ata niibia kabisa?Kuongozana na mbuzi na jogoo mjini ni aibu😂😂ngoja Kijana masikini aje
😂
Nakupa amri usogee hapa stendi ya magufuli, njoo uni pokee ewe jobless mwenzagu.Ni muheshimiwa Rais huyo wa chama Cha Majobles, ndiyo maana sijasema chochote.
Usitake nikose teuzi.
Dah vijana miyeyusho hawaMpe heshima yake amekwama stendi🤣🤣
😂😂😂 nasemaje sisemi kitu kumhusu muheshmiwa Raisi, niliona huu uzi kabla yako lakini nikapita kimya kimya.Mpe heshima yake amekwama stendi🤣🤣
🤣🤣🤣Ngoja nicheke.....Sister nita mbeba mabegani, huyo Kijana masikini si ndo ata niibia kabisa?
Tatizo sina nauli ya kufikia hapo standing muheshmiwaNakupa amri usogee hapa stendi ya magufuli, njoo uni pokee ewe jobless mwenzagu.
Wanakuita mkuu wa majobless😹Dah vijana miyeyusho hawa
Sister mbona hufiki sasa?Wanakuita mkuu wa majobless😹
Ntumie nauli nije kakaSister mbona hufiki sasa?
Kaka njoo huku una tembea au kukimbia, uta nikuta maana giza lime anza kuingia.Tatizo sina nauli ya kufikia hapo standing muheshmiwa
Siyo mkuu tu kama unamzungumzia mkuu wa wilaya. Huyo ni muheshimiwa Rais wa chama Cha majoblessWanakuita mkuu wa majobless😹
Nauli yenyewe naitolea wapi sister?, halafu njoo hata Kwa miguu ili tuki fika home tuna pika ugali mkubwa.Ntumie nauli nije kaka
Nielekeze ulivyovaa ili nikimtuma dereva wangu asipate shida kukutambua.Aisee nyie ndio wazee wenye hekima huku mjini, mzee wangu niko hapa stendi ya magufuli toka saa 7 mchana.
Ila sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi.
Huyo atakuibia😹😹subiri uoneKaka njoo huku una tembea au kukimbia, uta nikuta maana giza lime anza kuingia.
Mie nipo mwanza nipo nakuna poumbu tu Sina kazi!
Sasa daaslam hii hadi nifike hapo si wewe ndio utaanza kunitafuta mimi mkuu? Daaslam usiku inabadilika rangi.Kaka njoo huku una tembea au kukimbia, uta nikuta maana giza lime anza kuingia.
Mkuu. Mimi nipo kwa kina best Naso huku,Kaka mni sikilize tena?, badala ya kuja nilipo.