Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Nielekeze ulivyovaa ili nikimtuma dereva wangu asipate shida kukutambua.

Ukiwa hapo Stendi ya Magufuli, Kuna Saluni Moja ya Kiume (Berber shop) opposite na kibanda cha Wakala wa Pesa (MPesa/NMB)

Ingia humo nitakukuta, waeleze wewe ni mgeni wa Mzee Grahams watakuruhusu uketi ukinisubiri
Nime vaa shati jeupe ila kutokana na na kufubaa liko Kama jekundu.
suruali nyeusi ya kitambaa, sema ime nyooshwa.

Halafu niko na mizigo ya magunia, Niki ondoka wata iba mzee.
 
Nime vaa shati jeupe ila kutokana na na kufubaa liko Kama jekundu.
suruali nyeusi ya kitambaa, sema ime nyooshwa.

Halafu niko na mizigo ya magunia, Niki ondoka wata iba mzee.
Sogeza hiyo mizigo yako hapo Saluni nilipo kuelekeza, sio mbali

Isingekuwa hii foleni kuanzia hapa Kimara Bucha ningekuwa nimefika kukupokea.

Sasa jitahidi uishushe hiyo mizigo yako Chini, maana nimeambiwa tangu umeshuka na Basi bado umeiweka Kichwani 😜
 
Sogeza hiyo mizigo yako hapo Saluni nilipo kuelekeza, sio mbali

Isingekuwa hii foleni kuanzia hapa Kimara Bucha ningekuwa nimefika kukupokea.

Sasa jitahidi uishushe hiyo mizigo yako Chini, maana nimeambiwa tangu umeshuka na Basi bado umeiweka Kichwani 😜
Mzee nakusubiria hata iwe saa 6 usiku, hakika nakuambia huyu mbuzi ni mkubwa Kama Simba.

Haya jogoo nilio wabeba wame nona, njoo uni pokee kijana wako.
 
Back
Top Bottom