Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Mzee nakusubiria hata iwe saa 6 usiku, hakika nakuambia huyu mbuzi ni mkubwa Kama Simba.

Haya jogoo nilio wabeba wame nona, njoo uni pokee kijana wako.
Nakuja kukupokea Kijana wangu, usijali

Lakini hicho kiroba cha Mchele cha debe 1 ninavyowafahamu nyie Wasukuma utakula na kumaliza baada ya wiki moja, sasa mbona umesema unataka kukaa DSM miezi 3 😜🙌
 
Siwezi kufanya ujinga kama huo mbele ya Rais wangu. Simu yangu ishafikia asilimia hamsini hivyo inaanza kuporomoka kwa supidi ya roketi. Muheshimiwa Intelligent businessman nitakukuta mida ya saa tano tano hapo mkuu ngoja niweke simu chaji. ila kumbuka hii ni daaslam usicheke na yeyote.
Tulia hapo hapo nakuja Kijana masikini asije kusepa na huyo jogoo

🤣
 
Nakuja kukupokea Kijana wangu, usijali

Lakini hicho kiroba cha Mchele cha debe 1 ninavyowafahamu nyie Wasukuma utakula na kumaliza baada ya wiki moja, sasa mbona umesema unataka kukaa DSM miezi 3 😜🙌
Mchele huu ni kitumbo una vimba haswaa, usi ogope kuna gunia 1 la mihogo mibichi hapa.

hivyo nisipo Shiba, nita kuwa nakula hata mihogo yangu.
 
Siwezi kufanya ujinga kama huo mbele ya Rais wangu. Simu yangu ishafikia asilimia hamsini hivyo inaanza kuporomoka kwa supidi ya roketi. Muheshimiwa Intelligent businessman nitakukuta mida ya saa tano tano hapo mkuu ngoja niweke simu chaji. ila kumbuka hii ni daaslam usicheke na yeyote.
We Jamaa miyeyusho sana, hio saa 5 si wata niibia hawa Jamaa?
 
Siwezi kufanya ujinga kama huo mbele ya Rais wangu. Simu yangu ishafikia asilimia hamsini hivyo inaanza kuporomoka kwa supidi ya roketi. Muheshimiwa Intelligent businessman nitakukuta mida ya saa tano tano hapo mkuu ngoja niweke simu chaji. ila kumbuka hii ni daaslam usicheke na yeyote.
Hio simu inaporomoka na asimia hamsini🤣

Sasa izime afu washa itafika 90

Utanishukuru baadae
😹😹😹😹😹
 
Brother GENTAMYCINE na Chizi Maarifa hii ni last option kwangu, ila Sina jinsi.

mdogo wenu niko stendi ya magufuli hapa, naomba mni pokee.

Sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi yai.
Ok. Mimi kwa sasa nipo nje ya nchi ila naweza mtuma kijana aje akuchukue haina shida. Nipe mawasiliano. Leo wale kuku wa kienyeji.
 
Rais amekuwa msiri sana anakuja kimya kimya bila msemaji wa CHAMA kujua
😂😂😂 nasemaje sisemi kitu kumhusu muheshmiwa Raisi, niliona huu uzi kabla yako lakini nikapita kimya kimya.
Kumbuka kauli ya Raisi ni Sheria.
Labda nimwite semaji la chama bwana makutupora aje afanye anachoweza kumsevu Mista presidential maana jua ndio hilo linazama.
 
Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.

nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.

Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.

Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.

Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.

Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.

Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.

Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
Mtu kuitwa nusu muamrica nao ni upuuzi
 
Back
Top Bottom