Ndugu yangu kakamatwa kwa simu ya wizi, Nawasihi sana tuchukue tahadhari tunaponunua simu 'used'

Kumbe wanasheria kazi yao ni kutakatisha mali za wizi ekh
 
Kwa hali ilivyo sasa mahala salama pa kununua simu ni dukani tu
 
Daaah! na wauza simu wamekua wengi sana,inabidi kujihadhari kwakweli.
 
Mwezi wa 8 mwishoni simu yangu ilinianguka mahali, kijana alieiokota nilipopiga alijibu vizuri tu na kuonesha nia ya kunirudishia lkn ilipofika time alioahidi nikaifuate simu yangu nilipopiga ikawa ishazimwa.































Nilitoka tu job nikaenda kituo cha police kilichokaribu na kuchkua RB na barua ya kupoteza simu, then nokaenda kurenew line. Sikuwa hata na pressure nilijua tu simu nitaipata. Box nilionunulia nilikuwa nalo bado, plus receipt plus imei numbers.































Ilichkua km 3 weeks tu simu yangu nikaipata ila of course niligharamika kdg kama kutoa ahsante kwa alienisaidia. Lkn jamaa aliekamatwa nae nikamtoa ile amount niliolipa kufidia. Maskin na yeye alikuwa kauziwa tu. Lkn ndio ivo simu ya 900K yeye kanunua kwa 450K.































































Vizuri ukinunua simu dukani ukipewa risiti uhifadhi pamoja na imei numbers zake. Mie nna box la simu nilioinunua 3 yrs back mpk Leo nimelihifadhi. (Sio hii nilioipoyeza)




























































Kwa kumalizia tu wakuu simu nunua dukani, simu za kuuziana mikononio sahihi watu wengi saivi wanakamatwa.
 
Nimecheza Sana na Uwinga hapok.koo,
Kiufupi ukiachilia bidhaa nyingne nimenunua simu za mikononi na kuuza Si chini ya PCs 150,
Mara mbili mwanzoni nilipatwa na hii kadhia, baada ya hapo nikawa makini sanaa...

BTW ni kazi nilikua nafanya kwa hofu sana, nina ushuhuda wa watu wengi sana wameumizwa kwa hili.
 
Hiyo huwaga ni michozi ya polisi na hao matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…