Pole sana kwake, nina rafiki alitoa hela nyingi kununua Samsung akashangaa baada ya miezi miwili anapigiwa simu na Askari wa Oysterbay kuwa simu ni ya wizi
Alichukulia masihara labda matapeli mpaka siku alivyoona kero ya kupigiwa imezidi na kuamua kwenda Polisi, akakuta kweli na simu kwa mujibu wao, ni ya mdogo wa kiongozi mkubwa sana nchini
Ilibidi aitoe bila masharti ya ziada maana walimtaiti kwa maelezo tu akaona hana pa kutokea na aliinunua kwa raia aliyeipost kwenye mtandao
Tuweni makini sana na simu hasa hizi Samsung either nunua dukani ama hakikisha anakupa risiti halali, vinginevyo nunua kwa unaemuamini