Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

hawa wanajifanya jihad wakibinywa kende wanapiga ukunga.

Akiiingia kiongozi muislam ndo huwa wanaleta huu ujinga wao.
 
kwanini unawasemea?wewe utakuwa gaidi mmoja wapo waliyekuacha mtaani.Soon utatiww nguvuni ueleze vizuri.
 
Brooo hivi gaidi serious auze maji kwenye mkokoteni sasa kuna maana gan ya kuwa gaidi
ndo huwa wanajifichia kwenye kazi kama hizo.
kuuza maji hata yule askari magereza aliyeacha jeshi alikuwa akiuza maji kumbe usiku wanafanya vikao vya ugaidi.
Hizi ndo shugughuli zao
1.kuuza maji 2.Dawa za kisunna 3.Alkasusu 4Kujifanya watu wa Daw'a nk
kumbe humo ndipo wanapanga ugaidi.
 
Hii ya Askari magereza sikuipata mkuu, unaweza fafanua mkuu.
 
umeona sasa huyo ni gaidi si umeona nyendo zake.
 
Duh

Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa​

 
Taarifa kama hii unaongea ongea tu kama bosheni?

Mbona kama una masihara? Au umetumwa na Dipi Word.
 
Cha kujiuliza ni kwanini hayo yanaanza chadema inapoanza siasa zake majitaka?

Msikiri Mbowe hakuwa na kesi ya kujibu. Msifikiri waliotaka kumzima Lussu walifanya makosa.

Chadema ni sikio la kufa.
piga kelele na bibi tozo anatesa ndugu zake katika imani.

Ugaidi huwa unashamiri Rais akiwa muislam huwa mnatingisha kibiriti na kuchekewa.
 
wewe unaonekana unawafinance hao magaidi.

Watakutaja tu na wewe utaenda kujumuika nao.

Hamuwezi kuhatarisha usalama wa nchi mkachekewa!
 
na magaidi wazuri lazima utafute kazi ya kufanya ili ufiche uhalisia.
 
Najua ili swala humu ndani linapelekwa kwa misingi ya kidini ila kiukwel kabisa kwa jinsi navyomfaham jamaa n brother wang ambae mizunguko yake yote kwa siku naijua na nin uhakika hajawahi kujihusisha hata kitendo kimoj cha ugaidi
hajawahi vipi?wakati huyo late imam ndo alikuwa anawacoach mpaka mnamshauri kama familia aache?

picha na video za mafunzo ya ugaidi ya nin kwenye sinu yake?
 
Hii ya Askari magereza sikuipata mkuu, unaweza fafanua mkuu.
Askari Magereza aliaacha kazi ya jeshi akampiganie Allah.

Akawa anauza maji kwenye mzega mzega(toroli) kwahiyo watu wanamuona akiuza maji kama ndo shughuli yake inayomuingizia kipato kumbe ni undecover tu,Usiku wa maanan wanakutana katika mipango yao ya ugaidi na kuvamia ili kuishi.Huyo jamaa ndo alichonga mchongo wa kuvamia Staki Shari na kupora bunduki na kwenda kuleta movement kibiti.

Vipenyo wakagundua kuna watu wanatoka kwake saa 11 alfajiri,hilo gaidi likaja kuuliwa kwenye sekeseke la Kibiti.

Haya magaidi sio yakucheka nayo kabisa yaan.

Centre yao East Afrika ilikuwa Kenya kwa sheikh Logo anawahifadhi chakula,malazi,pesa nk...kisha kuwasafirisha kwa Al shabab,baadae shekh Makaburi lakini wote washatangulizwa mbele ya haki.

Hawa vijana wanaongopewa sana sana kuhusu pepo na mabikira,mafundisho hatarishi yote lazima yamulikwe kwa jicho la mwewe.
 
Gaidi huwa na siri sana moyoni ambayo wewe dada ake huwezi mdhania. Hao waliomkamata bila shaka wanataarifa sahihi juu ya mtuhumiwa.

Siku zite ogopa Mungu na technolojia.

Kama ni gaidi wamtendee kadiri ya sheria za nchi.

Magaidi ni wanyama sio binadamu wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…