lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
hawa wanajifanya jihad wakibinywa kende wanapiga ukunga.Sasa ndugu, wewe mwenyewe unatumia ID fake, halafu kwenye taarifa yako umeshindwa kutaja majina ya hao ndugu zako! Umeshindwa kutaja eneo waliko kamatiwa! Hujaweka siku na tarehe waliyokamatwa, nk!!
Halafu umejuaje kama wamekamatwa kwa kuhisiwa kujifunza ugaidi, na wakati hao wakamataji hawakusema kitu chochote?
Akiiingia kiongozi muislam ndo huwa wanaleta huu ujinga wao.