Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Habari ndugu wana jf jamani hii nchi kamatakamata haijaisha...nina brother wangu ambae ni first born wetu aged 31 years amekamatwa yapata wiki mbili sasa usiku wa manane na watu tunaowahisi ni usalama wa taifa walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani walikuwa na bunduki wakamkamata pasi nakutoa maelezo maalum wakabeba na simu zake hatujuh aliko had leo hii mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajuh kam mwanae ni mzima ama amekufa kwa kwel hali ya usalama nchini si shwar na hatukuwah kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua kwa hiyo ombi langu kwa mamlaka hatukatazi kuwakamata na kuwahoji ila ni vizuri mukawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wap... pia ndugu wanajf naomb muendelee kupaza sauri kutokan na vitendo hivi vya usalam wa taifa
Hii imetokea wapi,mji gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh kwa bahati mbaya sikuwa hata na picha yake na mimi niko mbali na mkoani maybe nifanye utaratibu wanitumie picha yake then nitaiwasilisha
muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua kwa hiyo ombi langu kwa mamlaka hatukatazi kuwakamata na kuwahoji.

Shughuli ipi kaka
 
Habari ndugu wana jf jamani hii nchi kamatakamata haijaisha...nina brother wangu ambae ni first born wetu aged 31 years amekamatwa yapata wiki mbili sasa usiku wa manane na watu tunaowahisi ni usalama wa taifa walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani walikuwa na bunduki wakamkamata pasi nakutoa maelezo maalum wakabeba na simu zake hatujuh aliko had leo hii mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajuh kam mwanae ni mzima ama amekufa kwa kwel hali ya usalama nchini si shwar na hatukuwah kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua kwa hiyo ombi langu kwa mamlaka hatukatazi kuwakamata na kuwahoji ila ni vizuri mukawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wap... pia ndugu wanajf naomb muendelee kupaza sauri kutokan na vitendo hivi vya usalam wa taifa
Labda nyendo zake na marafiki zake walikuwa si watu salama.
 
Mihemko vipi bro kwamba taarifa nimetunga au... ishu iko serious yapata wiki ya pili sasa hatujuh mpendwa wet yuko hai au amekufa na hivi hawa jamaa wamepewa hadi kibali cha kuua pasi nakushtakiwa.... kikubwa kilichobaki ni mapenzi ya mungu pekee najua waliko wanateswa na kulazimishwa kusema mambo ambayo walikuw hata hawafanyi
Ndiyo maana nimekuambia uweke taarifa kamili na inayojitosheleza.
 
Duuh kwa bahati mbaya sikuwa hata na picha yake na mimi niko mbali na mkoani maybe nifanye utaratibu wanitumie picha yake then nitaiwasilisha
Mmmmh
Mkuu wangu hebu tulia kwanza kisha tafakari vizuri kwa kina.

  1. Je unaifahamu ratiba ya nduguyo 24hrs kwa 7days?
  2. Haujawahi kuwa na picha yake, je huyo ni ndugu wa damu au ndugu katika imani?
  3. Mmetoa taarifa polisi? Na wamejibu nini?
  4. Vijana sita waliokamatwa naye, nao shughuli zao ni zipi?
 
Habari ndugu wana jf jamani hii nchi kamatakamata haijaisha...nina brother wangu ambae ni first born wetu aged 31 years amekamatwa yapata wiki mbili sasa usiku wa manane na watu tunaowahisi ni usalama wa taifa walienda wakavunja komeo la mlango wake wakaingia ndani walikuwa na bunduki wakamkamata pasi nakutoa maelezo maalum wakabeba na simu zake hatujuh aliko had leo hii mama yake mzazi analia kuchwa kutwa hajuh kam mwanae ni mzima ama amekufa kwa kwel hali ya usalama nchini si shwar na hatukuwah kumuona ama kumuhisi ana vitendo hivyo isipokuwa tu ni muislamu dhehebu la sunni na shughuli yake kuu tunaijua kwa hiyo ombi langu kwa mamlaka hatukatazi kuwakamata na kuwahoji ila ni vizuri mukawafahamisha ndugu wa karibu ili waelewe wapendwa wao wamepelekwa wap... pia ndugu wanajf naomb muendelee kupaza sauri kutokan na vitendo hivi vya usalam wa taifa
Yani@faizafoxy pamoja na kupambana kote kuulinda u salamaleko bado wanafanyiwa hivi huku ndiko kuupiga mwingi kwa mama?😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣
 
Back
Top Bottom