25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Mpaka anakuja hapa bimana kaanzia huko polisiPolisi mlifika kutoa taarifa? wanasemaje? Toa maelezo ya kutosha kona zote ili tuunganishe dot kama ni hao unaowatuhumu au ni kitu kingine. Mana hata Chadema wanaambiwa wanajitekaga wenyewe, ila maelezo yakisheheni wanajulikana wasiojulikana.