Unasikia? Barabara za lami za mitaa Mbeya nyingi zimejengwa na Sugu (japo hili ccm hamtaki lipenye masikioni mwenu). Taja barabara gani ya lami iliyojengwa au inayoendelea kujengwa na tulia Mbeya?. Zaidi yeye anachofanya yeye kwa sasa ni kuongezea vipande vya matope pembeni ya barabara kuu. Ili bajaji zake zipate angalau njia pembeni ya barabara kuu. Ni kama kujikanyagakanyaga tu
Lakini yote kwa yote akitaka kupita kirahisi uchaguzi ujao,nenda kamwambie aachane na kurekebisha hivyo vipande. Atumie nguvu barabara kuu kuanzia igawa mpaka songwe ianze kutengenezwa kwa four way. Na kutengwa kwa barabara ya maloli.
Umeona ule mchanganyiko wa maloli,coaster,magari ya binafsi,bajaji na pikipiki katikati ya jiji Mbeya?. Unatia kinyaa. Lakini ccm wanajifanya hawaoni. Ile barabara inapitisha maloli mengi kwenda Zambia na DRC. Ona maloli yanavyoendelea kuua raia na wanafunzi pale mlima wa kuingia mbalizi.
Mwambie atengeneze jina sasa kupitia hiyo barabara tu. Zingine zote hizo anapoteza muda tu. (Bahati mbaya jinsia. Nawajua wana Mbeya. Uliopita si mnajua mlichokifanya ccm