Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

Mwambie aache ujinga ...aoge kwa siku mara tatu na umtolee mifano kuwa wana jf wote tuna oga kwa siku mara tatu.......... na tuko vizuri hahahahahahahahaha
 
Mwambie aache ujinga ...aoge kwa siku mara tatu na umtolee mifano kuwa wana jf wote tuna oga kwa siku mara tatu.......... na tuko vizuri hahahahahahahahaha

Kha Unaoga kutwa mara Tatu unataka kugundua nini!!, mbaya zaidi Unaoga kwa sabuni na dodoki ukitoka hapo unaweka mafuta juu ya ngozi. mwisho wasiku ngozi inapoteza Kinga na mng'ao wa asili.
 
Taja mkoa uliopo..maana kuna mikoa mingine kuoga mtiti
 
Yupo mkoa gani, kama ni mbeya au njombe fresh tu
 
Katika suala hilo tunatofautiana sana, kila mtu na utaratibu wake, sioni tatizo hapo.

Unaweza kukuta na yeye unakushangaa kwanini unaoga kila siku.
😂😂 kwahiyo unataka kusema ule usemi wa "Usione, ukadhani" unawakilishwa vizuri!?
 
Yupo sahh mbona. Kuoga mara kwa mara kunafanya huue bacteria wanaosaidia kulinda ngozi.

Kwa mjibu wa tovuti ya Heathline
 
Kuoga siyo lazima mkuu,Mimi sometimes hata week baridi tu kwangu
 
all in all sijapenda tabia yako ya kuwasema wageni
 
Vitu vidogo sana hivi ana mambo mengi ya kufanya kuliko kuliko kufikiria kuiga tu daily
 
Sasa umeshasema mbeya, huko hata wiki ikipita ni kawaida sana.
 
Inaonekana hana mke, kuoga bila kufanya tendo la ndoa ni uharibifu wa maji.
 
Back
Top Bottom