Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Kama ni me kawaida sana hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kukariri, huku mbeya saizi jua linawaka aisee.Sasa umeshasema mbeya, huko hata wiki ikipita ni kawaida sana.
Ng'wi nini mkuu?Mnhh
Na wewe huogi siku Tatu?Ng'wi nini mkuu?
Alishawahi labda huko nyuma kukuambia kuwa angependa sana Ukubwani mwake aje kuwa Mganga wa Kienyeji wa Kutukuka?Wadau huenda labda mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga mimi nachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku 2 zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, Kwa sasa halibya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji yamoto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
Kwahiyo bro,Ndo umeamua kunianika humu 'jeifu'?Wadau huenda labda mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga mimi nachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku 2 zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, Kwa sasa halibya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji yamoto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
Nyie ni wachagga?Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?