Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

Tushazoea wanaume hawaogi ogi. Labda kina James delicious ndo wanaume wenye kuoga kila saa wasinuke.
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?
Kawaida Sanaaaa mim huwa napiga hata mwez
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?
Kama ni Mbeya mini sioni shida.

Mfano mimi nikiwa Mbeya naoga mara mbili kwa wiki[emoji846]
 
Mwanaume kuoga kila baada ya siku mbili huo ni utumizi mbaya wa maji
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?

Mbeya naijua vizuri sana...kama hujazoea ile baridi kuoga kwako kunakuwa ni nadra..nakumbuka tulikuwa tunaenda mtoni(Mto Mbalizi)...kama ni asubuhi ukiingia mtoni pumbu zinakimbilia juu...lakini sehemu zenye baridi komesha ni Upoloto..huko hadi wanafunzi wanaenda na makopo ya moto darasani...mpaka vilabuni walevi wanaenda na moto especially mwezi wa sita ...
 
Bora unuke mwili kuliko unuke roho. Mwamba yuko sawa kabisa 😂😂
 
Tena umenikumbusha Mbeya Enzi flani kuoga issue hasa mtu mpk unapigwa ndo uende kuzuga unaoga, halafu huogi unajipakaza pakaza tu vimaji sa Ingine mate unageuza km umeoga😅😅😅,
Halafu Kuna Ile style unaenda kuoga then unajipakaza sabuni Tena kama mafuta ung'ae.🤔
Hiyo sayansi MI sijawai kuelewa mpk leo Ile ilikua umaskini tu hamna kingine
 
Unataka Aoge na mvua hizo asipokauka je? Au unataka alale Mbichi eee
 
Kipindi nipo O' level kuna washikaji (kundi) walikuwa wanajiita 'Camel camp'. Hawa jamaa hawaogi term to term, siku alipooga anatoka home kwenda shule ataoga tena siku anatoka shule kwenda nyumbani. Na tulikuwa tunaishi nao fresh tu.

Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?
Ungeongea nae au unamwogopa
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?
Nilipokuwa nasoma Ifunda Tech. nilikuwa naoga mara mbili kwa wiki...Jumatano na Jumapili. Mimi ndio nilikuwa "toz nyangema", kuna watu walikuwa wanapitisha wiki mbili hasa waliotoka sehemu za joto.

Kula lazima ila kuoga ni hiyari.

Naimiss zaidi ile baridi ya Ifunda, Ulaya haitii mguu...teh teh teh!
 
put a joke aside lets all be honest....hivi kweli inawezekana kuna wanaume wanaoga kila baada ya siku mbili?

au ni masharti ya mganga?

katika wiki si kuna siku mbili tu za kuoga jamani au wenzangu mnatumia kalendar ambayo wiki ina siku kumi nini?i tafdhali msinipe kazi ya kuangalia upya kalendar yangu naombeni majibu
 
Wakati nikiwa Mbeya, wiki ilikuwa inakata fresh tu. Kuoga weekend, tena siku ya kwenda Church.
 
Back
Top Bottom