Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida Sanaaaa mim huwa napiga hata mwezWadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
Kama ni Mbeya mini sioni shida.Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
katika hili, Nakubaliana nawe kwa 93% 🤣Huyo anajitahidi sana, kiafya mwanaume anapaswa kuoga kila baada ya siku tatu.
jama jama 🤣🤣Wazungu wengi wanaoga mara moja au mbili kwa wiki, licha ya kuwa na maji ya kutosha. Labda anataka kuwa mzungu.
mkuu bila shaka wewe ulikuwa ndiye kiongozi wa hao Camel CampKipindi nipo O' level kuna washikaji (kundi) walikuwa wanajiita 'Camel camp'. Hawa jamaa hawaogi term to term, siku alipooga anatoka home kwenda shule ataoga tena siku anatoka shule kwenda nyumbani. Na tulikuwa tunaishi nao fresh tu.
Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
😀😀😀Unataka Aoge na mvua hizo asipokauka je? Au unataka alale Mbichi eee
Ungeongea nae au unamwogopaWadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?
Nilipokuwa nasoma Ifunda Tech. nilikuwa naoga mara mbili kwa wiki...Jumatano na Jumapili. Mimi ndio nilikuwa "toz nyangema", kuna watu walikuwa wanapitisha wiki mbili hasa waliotoka sehemu za joto.Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.
Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite
Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.
Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.
Je, ni kawaida?