Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

Nilipokuwa nasoma Ifunda Tech. nilikuwa naoga mara mbili kwa wiki...Jumatano na Jumapili. Mimi ndio nilikuwa "toz nyangema", kuna watu walikuwa wanapitisha wiki mbili hasa waliotoka sehemu za joto.

Kula lazima ila kuoga ni hiyari.

Naimiss zaidi ile baridi ya Ifunda, Ulaya haitii mguu...teh teh teh!
mi nimekaa mbeya na schedule yangu ilikua ikishapita saa 10 jioni basi automaticaly kwenye swala zima la kuoga nakua nje ya muda

na sijawahi vunja ratiba kuoga siku ambayo haipo kwenye ratiba yangu eti kwasababu leo nime-delay

ilifika wakati nikawa nasahau siku ya mwisho niliyooga ni lini mpaka nikumbuke matukio yaliyofanyika around siku hiyo. ni kama wale vikongwe waliozaliwa miaka ya nyuma ambao hawajui kwa hakika ni mwaka gani walizaliwa ila wanakumbuka matukio kama vile vita ya kwanza ya dunia ndio unajua huyu mzee atakua ni wa miaka ya 1910s
 
mi nimekaa mbeya na schedule yangu ilikua ikishapita saa 10 jioni basi automaticaly kwenye swala zima la kuoga nakua nje ya muda

na sijawahi vunja ratiba kuoga siku ambayo haipo kwenye ratiba yangu eti kwasababu leo nime-delay

ilifika wakati nikawa nasahau siku ya mwisho niliyooga ni lini mpaka nikumbuke matukio yaliyofanyika around siku hiyo. ni kama wale vikongwe waliozaliwa miaka ya nyuma ambao hawajui kwa hakika ni mwaka gani walizaliwa ila wanakumbuka matukio kama vile vita ya kwanza ya dunia ndio unajua huyu mzee atakua ni wa miaka ya 1910s
Sehemu za baridi kama Iringa, Njombe , Makete, Mbeya, Mafinga kutooga ni jambo la kawaida. Ila maeneo ya joto bafu linakuita lenyewe.
 
Bora huyo mi bila siku 8 siogi na Mungu alijalia jasho lisilonuka ndo mweeee huwa naoga nikiishiwa nguvu tu
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?
hydrophobia
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?
Yani wewe unakaa mbeya halafu unaoga kila siku?mimi nikienda Tukuyu kwa wiki ni mara tatu tu.amna vumbi wala jasho sasa naoga ili iwaje
 
Bora yeye siku mbili...
Me kila nikitaka kuoga nasikia Saut ya malaika wa amani ikinambia "mbona hunuki usijisumbue tu" Na me ni nani nibishane na Saut ya Bwana...
Nina week sasa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]hatari sana
 
Wadau huenda labda Mimi ni mshamba.

Kuna ndugu kaja hapa home, sasa inapokuja suala la kuoga Mimi ninachojua inabidi uoge mara moja kwa ila ndugu naona utaratibu wake ni hadi siku mbili zipite

Mkoa nilipo ni Mbeya, kwa sasa hali ya hewa kuna jua kali kiaina japo mvua ni hizi zinanyesha mara 2 kwa wiki.

Maji ya bomba sio tatizo kabisa , pia jikoni kuna lile dude la kuweka mkaa kupasha maji, maji ya moto sio tatizo.

Je, ni kawaida?

Possibly huwa anaoga hukohuko akishamaliza, si wajua kutembea na janaba haifai?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nilikukanya usitoroke Milembe ukakaidi sasa ona unavyosumbua mtaani!
Daah, kumbe yule ndege niliyekua nimemnasa humu hii 'komenti' yako ndio imempeperusha!!
Ni hakika nitalipa tu!
 
Atakuwa ana chafua mashuka na kunuka pumbu na kikwapa kwa namna yeyote ile.
Mwambie aoge aache usela mavi.
 
Yaani umeamua kuja kunitangaza huku JF sasa kesho naanza kutotawaza kabisa nikitoka kukata gogo.
 
Back
Top Bottom