Bado unawaza ngono! Umasikini upo mlangoniWakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Kutoa pesa ni rahisi sana ila kurudisha ni KAZI ngumu sana mkuu financial displine yangu inatokana na ugumu ninao utumia kupata pesaSi unampenda sana kiongozi,toa hiyo akiba utatafuta nyingne
Mzazi wangu kuwa nikitaka mke nimwambie mzazi wanguMama alomtaja apo ni yupi?
Ana 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yakeEh mazito huyo bint ana umri gan na kwann yeye ndo aseme kias Cha mahal na sio wazaz wake
Mahali ❌️Wakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Simamia hapo hapo, yeye anataka 2.6M yeye ndio mpangaji wa mahari? anazipokea yeye, halafu anapata wapi ujasiri wa kusema tuachane itakuwa umekuwa zoba kwake anakujambisha, anataka utoe akiba yote ukimuoa atakuja kula mawe? wenzako wanawake ndo wanaenda kuomba kwa wazazi wao ili mchumba apunguziwe, wewe mchumba ndio anakupiga hapo haujaenda kwa wazazi? shitukaWakuu huyu mwqnamke nampenda sana na anadai ananipenda sana, Sasa issue ipo kwenye mahali.
Binafsi Nina 1m kwa ajili ya ndoa ila Cha ajabu yeye anataka 2.6m anataka akiba yote niinvest kwenye mahali na ndoa jamani hii imekaa sawa??
Namuuliza anasema kama vipi tuachane. Mimi nimemwambia ukweli kuwa siwezi kutoa Zaidi ya 1.m kama deni sawa ntamalizia yeye anataka 2.6m Sasa inaamaana mtu uache kuexpand biashara uwekeze kwenye ndoa?? Hii ipoje wakuuu!
Pumbavu chapa mwendo, kwani anabikra?Ana 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
Ahsante kwa kuniweka wazi mkuuMahali ❌️
Mahari ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
➡️➡️➡️ Ushauri mwingine sina ila ni wazi mwanamke huyo anakudharau sana; na ni wazi unalazimisha mambo 👇👇👇. Hata ukikomaa naye siwaoni mkiwa na ndoa yenye furaha labda we mwanaume ukubali kuwa bumunda katika ndoa na familia yenu. Simp! 🚮
View attachment 3214837