Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Yeye ni mndali mtu wa mbeya
Ndio nimemkuta bikra ila kwasasa Hana tena
Wanawake wa Mbeya ni makeuri nadhani kuliko wanawake wote duniani, nduguyangu ukitaka kufa ukiwa na miaka 35 tu, oa mwanamke wa Mbeya, huyo demu anakudharau ukimuoa tu, usipokufa kwa presha ndani ya mwaka mmoja, nimekaa pale....
 
Kwa hio pesa ya mahali anapanga yeye ?
 
Ukioa hilo boga utakuja kuteseka maisha yako yote. Naishia hapo
 
Una uhakika na unachokisema mkuu?
 
Kati ya red flag sisi wanaume tunayo takiwa kuitambua hata kwenye small details za mawasiliano ni kitendo cha mtoto wa kike kutumia maandishi yenye capital letters kwa msisitizo!, maana yake rahisi ni kwamba anakupanda kichwani huyo …piga chini boss wanawake wako wengi mnoo
 
Yaani hizi kengemaji zilizo 20 mpka 25yrs zinasumbua ajabu.
Kuna kamoja nilijaribu kukatreat kama mke,!!! aisee mliooa shikamooni. Na hapo ni miezi mitatu peke yake ila akili imenirudi.
Mimi wa kwangu alikuwa anamaliza Chuo Coz pharmacy mwakajana kazaliwa 2003 it means she 22 now mwakajana sana
Akawa akiwa na shida na hela ndo ananitafuta namtumia nikituma na story zinaisha, hakuwahi kunitafuta
Kawaida Ata tu kuni Julia hali yeye ni kuomba hela tu(nakiri kosa nilimuingia kwa Gia ya hela)

Amezaliwa dsm kakulia dsm, kamaliza fomfour Chuo moja kwa moja nilipomwambia nataka kumuoa akasema hataki kuolewa kwa sasa na hawezi kuishi nje dsm sababu ety hajawahi kuvuka Ata kwenda morogoro toka azaliwe, akasema hawez kuishi mwanza ni vijijini🤣atakuja kama kutembea as a tourist
 
Hivi vitoto jau sana, mimi cha kwangu ni kitumishi kabisa kina 24yrs now.
Kutokana na mimi kuwa busy nikawa nakipa nafasi ya kujiendesha chenyewe. Mimi kazi yangu ikawa ni kutoa mahitaji ya msingi pale inapohitajika na kukipiga miti pale napopata muda wa kutosha. Nashangaa kinaanza kunambia sikipi muda mara sijali hisia zake aisee,,,
Ukawa ugomvi kabisa anadai namfanyia vile sababu nimemfanyia mambo mengi(kiuchumi) kwahiyo najua hawezi kuniacha.
Juzi nikakiambia tafuta watoto wenzio mkabembelezane nikakiachia kila kitu.
 
Aseee. Watoto wa 2000's ni kisanga
 
Ana 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
Ila ukistaajab ya Musa utaona ya Firauni, m4 mahari 😳, nadhan mimi ni mshamba au sielewi.........kama una eneo anza ujenzi wa mabanda ya uwani kisha upangishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…