Sasa si upige chini
Huyo atakupelekesha huko mbeleni...ama uko tayari kuolewa?
Kwanza anakuandikiaje text kiubabe namna hiyo au ni drama tu hizi unatuletea humu?
Hapana hakuna Drama mkuu,Sasa si upige chini
Huyo atakupelekesha huko mbeleni...ama uko tayari kuolewa?
Kwanza anakuandikiaje text kiubabe namna hiyo au ni drama tu hizi unatuletea humu?
Hapana mkuu hakuna Drama, hiyo ndio hulka yakeSasa si upige chini
Huyo atakupelekesha huko mbeleni...ama uko tayari kuolewa?
Kwanza anakuandikiaje text kiubabe namna hiyo au ni drama tu hizi unatuletea humu?
Hapana hakuna Drama mkuu,
Hapana mkuu hakuna Drama, hiyo ndio hulka yake
sio dharau tu, anaonekana ana sauti kwa jamaa, yaani jamaa ameonyesha kuwa anampenda sana, ndio maana anamjambisha et tuachane kah! mil 2.6 ndogo? wakat kuna wenzake huwa wanaanza kuishi kwanza na wanazaa kabisa ndio mahari zinaendaSasa mahusiano gani hayo wanashindwa kuelewana kwa jambo dogo
Halafu mwanamke wake anaonekana ana dharau
Fyekelea mbali hii kausha damu.
Kwa statement hiyo tu hata akitoa mahari yeye usimuoe huyo ke, huyo hakufai.Mzazi wangu kuwa nikitaka mke nimwambie mzazi wangu
Ndio wananifahamuMchumba wako anapanga vipi mahari?
Kwani tiyari umeshajitambulisha ukweni?
Kama m1 sio thamani yake, basi muache ashuke shuke thamaniAna 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
Mim Kwa Sasa mahar yangu ni mikono ya ya kututakia kher wazaz wangu na mwenzangu [emoji23]wewe je ni shingapi
Achana nae huyo ata akishuka hadi laki, ngoja mshale uanze kusoma 28+ kama meridianbet ndio atajua hajui.Ana 24 wazazi wake wanataka 4m yeye amepunguza mpaka 2.6m kisa anadai 1m sio Thamani yake
Umekuta ya limaoNimemkuta bikra na nimeshaitoa mwaka sasa
Sawa nashukuru kwa kunijaliMkuu. Achana nae uyo. Tena muache kuanzia leo.
Mi uwa sitoi ushauri wa mapenzi, ila this one seems seriously.
Piga chini mbuzi iyo.
Analazimisha sana tu, alisema yeye muislamu, mwanamke kkkt hawaelewaniMahali ❌️
Mahari ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
➡️➡️➡️ Ushauri mwingine sina ila ni wazi mwanamke huyo anakudharau sana; na ni wazi unalazimisha mambo 👇👇👇. Hata ukikomaa naye siwaoni mkiwa na ndoa yenye furaha labda we mwanaume ukubali kuwa bumunda katika ndoa na familia yenu. Simp! 🚮
View attachment 3214837
Sawa samahani piaIfike hatua hata wadada waone aibu kuolewa kwa mahari maana ni kama unanunuliwa ati!, ila ndo kwanza wameshupaza shingo wanajipangia mahari kubwa!.
Mkuu achana na huyo kasongo, kwanza umekosea sana hata kuja kutuomba ushauri huyo ilitakiwa unamuacha tu hakuna kuuliza.