Ndugu zangu Kuna upendo kweli hapa?

Wanawake hawatupendi wanaume!

Wana pretend Ili tuwabebee mizigo ya maisha yao!

Wakishafanikiwa hawatutaki tena!

Wanatafuta waliobora kuliko wewe na kukufukuza kisiasa Kwa kukudharau,kukunyima unyumba na kukugombeza kama mtoto na kebehi juu,ukimuwasha makofi anaenda ustawi kutaka talaka!

Sisi tunazisoma Lamar za nyakati na kuanza kujiondokea kimya kimya!

Huyo wa kwako kaonyesha makucha mapema coz ana mtu tayari anemuona anafaa kuliko wewe ndio Maana katoa kipimo Ili ushindwe aende kwa jamaa anaemuheshim!!

Nilishawadharau Hawa viumbe sitaki hasta kuwasikia Bora ununue kuliko kuwekeza muda ,Mali,na hisia!!

Wabinafsi sana!
 
Mpe mimba, watakupa uende nae buree kabisa kwa makubaliano kuwa mahari utaja wapa mbeleni ukipenda.
 
Mtafika tu.
NB;-mahali vs mahari.
Kipolo vs kiporo.
 
Umenena mkuu.
 
Kwa kauli hiyo kimbia mbio sana, Mungu anakupenda na amekufunulia signal kwamba huyo unayedhani anafaa kuwa mke ni hafai. Yatakukuta yaliomkuta MC Pilipili ndani ya mwaka mmoja na nusu.

Jiongeze, mwanamke akipenda huwa ni mtiifu na muelewa kwa mwanaume wake. Hawi mbinafsi na hampelekeshi mwanaume wake ila kwa upendo na heshima anampa nafasi ya kutoa mawazo mazuri kwa manufaa ya wote sababu ndio mtaishi pamoja. Pia anakuwa tayari hata kujinyima furaha ili tu ahakikishe wewe unaridhika kwanza hii kitaalamu inaitwa "submission".

Hio element ikikosekana ndio mwanamke hatawaliki. Anakuwa ana kiburi, dharau za wazi wazi tafsiri yake ni kwamba hakupendi na wala hajali lolote kuhusu wewe.
 
Unamdanganya mwenzio kwa faida ya nani? Wewe kama Msukuma kweli ulishaona wapi mahari ya 1m? Uzungu unatuharibia mila na desturi zetu!
 
Ndio ana 24
Huyo bado hajakuwa na anajiona mzuri ndio maana anakupelekesha. Waachie wahuni wapige pige we tafta mwanamke matured wa 25-26 kisha mfanye maisha.

Huyo wa sasa atarudi a couple years ahead tena akiwa single maza utakuwa unapasha kiporo tu wala usijali.
 
Unampigia debe dadaako😂?! Huo ujinga labda umfanyie mtu asiyejielewa. Kwa mimi dadaako angekuwa single maza sahizi😁
 
Hio ipo mzee ukiwa mzembe unatema bungo baada ya wiki unasikia kaolewa na mwingine ni mtego huo unaunasuaje tafuta mshenga mwenye akili mkae chini mjue nini cha kufanya ila hizo hela zote hua anazirudisha kwako ukishamuoa, akili kichwani mwako
Anazirudisha kwa makubaliano gani?😂
Au ndio zile saundi za kwamba atakufulia na kukupikia sijui amekuzalia watoto wazuri. Shenzi, hio mambo hata housegirl anaweza kufanya. Tusipimane imani kwenye mambo ya kijinga.

Falsafa yangu huwa ni kuwa if it doesn't work at early stage, it will never work at later stages. Ntampa nafasi ya kujuta tu, "Tatizo wewe haukunielewa tu Tom, ungekuwa umenioa tayari yani naumia sana jamani" sahio kazalishwa na chekibobu wa sinza mwenye mitatuu kila kona ya mwili na hana mpango wa kumuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…