Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
- Thread starter
-
- #241
tunakujaMi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
Una akili nyingi sana mkuuKwa maisha ya sasa usimshangae mtu kusema hana hela eti kisa anasimu, simu tena janja ina umuhumu sana ndugu! Kuna siku utamshangaa mtu nadhifu na mtanashati anaomba umsaidie japo 1000 ya kununua dawa! Jinsi ulivyobarikiwa wewe ni tofauti na wengine walivyo
Mods wanabadirisha badirisha heading tu Wewe Mama ulichukua zamu huko km Moderator acha umama huruma unabadirisha badirisha heading ili iweje unataka kufanya nini? Heading ya kwanza anasema Bora angekua Jela Muda huu angekua amekula means anataka chakula =mtego huo heading ya Pili mkaweka kwamba mwenye msaada wowote amsaidie mleta Mada na heading ya tatu mnasema mwenye kazi yoyote amsaidie mleta Mada, Mods mmetumwa au? Wewe Mama nyuma ya keyboard hapo unabadirisha heading kila mara umetumwa au umeagizwa?Mi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
Mkiona sijibu pm zenu namb yangu hiyi0743014032 mnicheki tu kikubwa mjizile kama mnakuja kutafuta pesa fanyen kinachowaleta mana huku staree kama ,,,,,,,mtajikuta mnaitafutia hela starehe bila kuwasahau wenye mitaji ambapo mnashindwa wp muwekeze achanen na biashara njoen niwape michongo ya pesa sio unaisubili laki mbili wiki nzima kwenye m2 zako so bora ule njoo nikupe connection upige helatunakuja
Akili nyingi zipi acheni kutiatia huruma fanyeni kazi ukishindwa uza hata Figo Ila usiuze utu wako usikubari kufanywa kinyume ili upewe Pesa fanya kaziUna akili nyingi sana mkuu
Unatafuta ban mkuuMods wanabadirisha badirisha heading tu Wewe Mama ulichukua zamu huko km Moderator acha umama huruma unabadirisha badirisha heading ili iweje unataka kufanya nini? Heading ya kwanza anasema Bora angekua Jela Muda huu angekua amekula means anataka chakula =mtego huo heading ya Pili mkaweka kwamba mwenye msaada wowote amsaidie mleta Mada na heading ya tatu mnasema mwenye kazi yoyote amsaidie mleta Mada, Mods mmetumwa au? Wewe Mama nyuma ya keyboard hapo unabadirisha heading kila mara umetumwa au umeagizwa?
Umefanya chamaana sana mkuu, sio wengine wanamzodoa mdau badala ya kumsaidiaBGQ2E020CT0 Imethibitishwa. Tsh6,000.00 imetumwa kwa TIPS-TIGOPESA kwenye akaunti namba 255711406248 tarehe 26/7/24 saa 1:40 PM Ada Jumla Tsh180.00 (M-Pesa Ada Tsh180.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako la M-Pesa ni Tsh16,236.50.
Nipige banUnatafuta ban mkuu
Kumsaidia nini nyie Wote mafala hamjui mnachokifanyaUmefanya chamaana sana mkuu, sio wengine wanamzodoa mdau badala ya kumsaidia
Wewe ni Boya MaandaziBGQ2E020CT0 Imethibitishwa. Tsh6,000.00 imetumwa kwa TIPS-TIGOPESA kwenye akaunti namba 255711406248 tarehe 26/7/24 saa 1:40 PM Ada Jumla Tsh180.00 (M-Pesa Ada Tsh180.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako la M-Pesa ni Tsh16,236.50.
ππππ kuna people na shoes ila we ni kijikoKumsaidia nini nyie Wote mafala hamjui mnachokifanya
Nyinyi Wote mafala huruma za kisengesenge hizi ndio mnaishia kuibiwa kisengesengeKiukweli nilishawahi pitia haya...siwez mdhihaki mtu kwa mapito...pole kaka wewe ni jasiri...kesho yetu itakuwa kubwa kuliko jana yetu..piga moyo konde...
Mbona una hasira mkuu kwani unaibiwa weweNyinyi Wote mafala huruma za kisengesenge hizi ndio mnaishia kuibiwa kisengesenge
Hiyo michongo inawafaa wenye mabavu tuuu??Mi kazi ninazo jitihada zako tu kwa mwez unaeza toka na laki 5 ila uwe mwamba haswa si unakujua njombe huku wenye mbavu ndio wenye hela kama upon tayae ni pm huku mishe mingi za nguvu so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
πππKumsaidia nini nyie Wote mafala hamjui mnachokifanya
Nimecheka hd natakufa jamani weka namba nikutumie laki moja nduguNyinyi Wote mafala huruma za kisengesenge hizi ndio mnaishia kuibiwa kisengesenge
Sitaki kutapeliwa kijinga Vijana fanyeni kazi acheni kutiatia huruma fanyeni kazi hakuna ambapo utakosa kazi ya kufanya fanyeni kazi kupendapenda kuonewa huruma ipo siku litakukuta Jamboππππ kuna people na shoes ila we ni kijiko
Sifanyagi huo ufala na Sina hio hulka ya kuibia Watu kisengesenge yaan Wewe hujiulizi hata maswali unatuma tu Hela eti nimetoa Sadaka mafala hawatowahi kuishi TanzaniaNimecheka hd natakufa jamani weka namba nikutumie laki moja ndugu
Ndio mkuu wasio na mabavu muwe na mitaji mana si unajua kaz za mbao za mashqmba zilivyo MTU legeleg atanilaumuHiyo michongo inawafaa wenye mabavu tuuu??
Huo na pia ni ufala mwingine unaniulizaje swali la kifala kiasi hicho?Mbona una hasira mkuu kwani unaibiwa wewe