πππππ mkuu nipo kwenye gar wataniona chiz ujue πππ dah hit nch hiySifanyagi huo ufala na Sina hio hulka ya kuibia Watu kisengesenge yaan Wewe hujiulizi hata maswali unatuma tu Hela eti nimetoa Sadaka mafala hawatowahi kuishi Tanzania
Ondoka kwa shemeji yako kwanzaUna umri gani?
Nikufanyie Mpango wa kwenda Kwa watoto yatima
Madago weweHuo na pia ni ufala mwingine unaniulizaje swali la kifala kiasi hicho?
Siibiwi kisengesenge kuna mmoja daily anatuma meseji nimtumie 20,000 au 50,000 nakula ganzi na hachoki kila baada ya Muda anatuma anafikiri Mimi ni Falaππππ kuna people na shoes ila we ni kijiko
Kuibiwa unaitafsiri vp labda ww kwa upande wakoSiibiwi kisengesenge kuna mmoja daily anatuma meseji nimtumie 20,000 au 50,000 nakula ganzi na hachoki kila baada ya Muda anatuma anafikiri Mimi ni Fala
Mtandaoni kuna mambo mengi meusi meusi Wewe paone hivi hivi na wanaokuibia Pesa yako wanaenda kuifanyia upumbavu na ujinga maana hawajaitolea Jasho loloteKuibiwa unaitafsiri vp labda ww kwa upande wako
Kazi gan za mbavu njombee...mkuu mimi navuna misitu hapo mafinga...sao hill labda uniambie ninyi ndio wale vijana ambao huwa tunawatumikisha kupakia...nguzo...mbao...vigogo nk...lakin pia sio kaz nzito caz mnakuwa weng kiasi...hao wachina tunashinda nao hapo...wahindi...wakina quaya...Usafir wa malori tunatumia wakina MT huwel...kwa nn uwatishe vijana..Ndio mkuu wasio na mabavu muwe na mitaji mana si unajua kaz za mbao za mashqmba zilivyo MTU legeleg atanilaumu
Huo pia ni ufala mafala ndio mnaishia kuibiwa kifalafala alafu kukipambazuka mnaanza kupatwa na akiliMadago wewe
Umasikin mbaya sana...ndio kinachokusumbua...Nyinyi Wote mafala huruma za kisengesenge hizi ndio mnaishia kuibiwa kisengesenge
Hauwezi kunizungumzia umasikini na haunijui, wakati nakwambia nimeshawahi kumsaidia mtu Ila baadae baada ya kufanya uchunguzi wangu binafsi nilikuja kugundua kua sio mtu aliekua anahitaji msaada bali ni tapeli kwa hio nilijifunza nisiwe na huruma ya namna hio tenaUmasikin mbaya sana...ndio kinachokusumbua...
Wazo zuri sana,mwenye macho haambiwi tizama.Imagine simu angeuza kwa lakhi moja .Angechukua 24000 anunue kiswaswadu then iliyobaki angefanyia biashara
Huyo Jamaa yako alieonyesha mpaka Muamala ni bonge 1 la Fala na kukipatikana mafala km hao 100 tu Jamaa ana Laki 6 za ubwete kukipatikana mafala km hao 1000 tu Jamaa ana 6 million za ubwete mjini shule kila mtu ana akili zake na hakuna pepa la kufungua semestaWe jama utakua unajua na kuelewa maisha, watu wengine wa nadhani ni masikhara kumbe jama ana njaa kabisa.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Bado haujafunga mahesabu? Kuna mafala bado wanakutumia HelaInshaallah
nikutumie?Hiyo profile pic nimeielewa
Nimeshafunga bossBado haujafunga mahesabu? Kuna mafala bado wanakutumia Hela
so kama kuna mwana jf kajiila na hajui hatima yake na anataka kujiua kisa hana hela tafathar njoo pm nikupe michongo utakuja nishukuru
Ee hao mafala acha wajichanganye waendelee kuzituma si hawana cha kuzifanyia zimezagaazagaa tu acha wakutumie Ila watabaki kua mafala daimaNimeshafunga boss