Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
- Thread starter
-
- #101
Nilikuwa nakesha kwenye ule uzi wa ajira za polis sasa baada ya kupigwa chini ndo matumain yameishaUkijiona inafikia mpaka unakosa kula, basi wakati ambao hauna matatizo, jipangie siku japo moja kwa wiki uwe unafunga.
Kukosa kula, ni system ya maisha yako ina "auto flush" sumu mwilini mwako. Jambo la kawaida hilo, unaweza kuwa hata una pesa lakini ukashindwa kula. Ondowa hofu. Kunywa maji mengi.
boss nipe wazo la biashara ya elf 80Imagine simu angeuza kwa lakhi moja .Angechukua 24000 anunue kiswaswadu then iliyobaki angefanyia biashara
Biashara siyo rahisi hivyo Kama unavyofikiriaImagine simu angeuza kwa lakhi moja .Angechukua 24000 anunue kiswaswadu then iliyobaki angefanyia biashara
Pole mkuu...kulikuwa na swali ila nimeona NB limejibikaAssalam Allaykum..
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni... Daaah maisha haya... Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
asantePole mkuu...kulikuwa na swali ila nimeona NB limejibika
😁mkuu pesa ya bando ungenunua hata andazi
Kama 80000 ni ndogo angeweka simu bondi alaf angekopa au angeazima ata 500,000kutoka kwa watu wa karibu alaf afanye biashara.Biashara siyo rahisi hivyo Kama unavyofikiria
Wachana na kutafuta ajira, anza kibiashara japo kidogo cha kuuza karanga za kuchemsha. Usidharau. Ili ujenge "connections".Nilikuwa nakesha kwenye ule uzi wa ajira za polis sasa baada ya kupigwa chini ndo matumain yameisha
Omba dua katika mola mlezi hakika atapata kukupa njia za kupata pesa ikiwa wewe binafsi unajituma kwa bidii na maarifa hakika mola mlezi hamwachi mja wake.Amina mkuu kukosa pesa sku moja au mbil sio tatzo tatz ni kukosa mpango wa kuingiza hiyo ela
asanteWachana na kutafuta ajira, anza kibiashara japo kidogo cha kuuza karanga za kuchemsha. Usidharau. Ili ujenge "connections".
Inshaallah shukran mkuuOmba dua katika mola mlezi hakika atapata kukupa njia za kupata pesa ikiwa wewe binafsi unajituma kwa bidii na maarifa hakika mola mlezi hamwachi mja wake.
Kama upo Dar, asubuhi mapema sana nenda soko la stereo Temeke litembelee lote, mpaka kufikia saa moja asubuhi utaona fursa lukuki zitakazo kupatia walau faida ya sh 5,000 kwa siku kupitia alfu 80 utakayoanza nayo.boss nipe wazo la biashara ya elf 80
sawa ntafanya hivoKama upo Dar, asubuhi mapema sana nenda soko la stereo Temeke litembelee lote, mpaka kufikia saa moja asubuhi utaona fursa lukuki zitakazo kupatia walau faida ya sh 5,000 kwa siku kupitia alfu 80 utakayoanza nayo.
Chamsingi aliyetumiwa hela sio ZuchuHela unatumiwa
Baadae ukipigiwa simu utakuja!?
Joking tu
Ila kaza ndo ukubwa huo
Kama hauwezi kumsaidia piga chini mazee hii life unaweza ukawa na nauli ila hela ya kula hauna utamuuliza mtu kafikaje hapo hiyo pesa si angekula...maswali ya watoto wa kota haya..Ila unahela ya bando
Hawawezi kukuelewa zaidi zaidi watakuona mzembe tu.Kama hauwezi kumsaidia piga chini mazee hii life unaweza ukawa na nauli ila hela ya kula hauna utamuuliza mtu kafikaje hapo hiyo pesa si angekula...maswali ya watoto wa kota haya..
Ukianza biashara japo ndogo, ondowa kabisa mawazo ya "kujaribu" iwe kwenye nia yako kabisa kuwa hiyo ndiyo kazi yako kwa sasa na unafanya jitihada na ubunifu kuikuza kila kukicha.asante