Ndugu zangu, kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke

Huyu Jamaa atakuja tena leo sio mwisho wake leo atachukua next time anakuja na ID nyingine kuomba msaada the same person on another ID ushanielewa?
Yeye na Mungu wake kwa waliotoa waweke tumaini kwa Muumba kwa vyovyote vile Mungu atawalipa, kama yupo kwa ajili ya dhihaka hakika Mungu hadhihakiwi
 
Yaani wwe unataka kila kijana atembeze kahawa kama wwe!!
Mkuu kama upo Dar nenda sehemu inaitwa Mchikichini utakuta viwanda vya kashata na vijana wamejiajiri hapo kwa mtaji.mdogo na wanaendesha familia zao kama kawa.
MCHICHA ULIANZA KAMA MBUYU
 
Yeye na Mungu wake kwa waliotoa waweke tumaini kwa Muumba kwa vyovyote vile Mungu atawalipa, kama yupo kwa ajili ya dhihaka hakika Mungu hadhihakiwi
Nasemaje huyu mwamba hii ni mara ya pili anakuja na sio mara ya Mwisho atakuja tena na ID nyingine just wait and see same person on another ID and I don't like this at all, huu ni ujinga Vijana acheni usenge mnatembeza bakuri Wewe una kila kiungo unashindwa kufanya kazi hata ya kubeba mizigo?
 
Mkuu kama upo Dar nenda sehemu inaitwa Mchikichini utakuta viwanda vya kashata na vijana wamejiajiri hapo kwa mtaji.mdogo na wanaendesha familia zao kama kawa.
MCHICHA ULIANZA KAMA MBUYU
Jamaa anafanya JF ndio sehemu ya kuziokota sababu JF kumejaa wasiojitambua au sio?
 
Nimependa tu wadau walivyo na ushirikiano humu na walivyo serious binafsi nimeguswa na watoaji kwa moyo wao Mungu awaongezee

Na kuhusu huyo mchangiwaji kama kweli anadhihaki watu kama unavyosema ataishi kuwa omba omba milele kwani kuwa omba omba hakujawahi kuwa ni sifa au ni mtaji kuwa atakuwa tajiri
 
Vipi kuhusu simu😀😀
 
Ila mkuu don't be hard on him
No Hawa watu hawasaidiki utamsaidia leo atafanya Mchezo kesho kesho kutwa anarudi na ID nyingine kuja kupitisha bakuri kwa hio unakua km Mchezo wake na alihisi kwamba sitamshtukia siku Ile kaja na Gia hii hii na leo kaja na Gia hii hii Ila ID tofauti mtu ni yule yule
 
Mbona umerudi geto mapema sana kabla cku haijaisha mkuu,ungeelea kuzuga kitaa unaweza kutana hata na gari imekwama ukasukuma ukaambulia hata buku mbili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…