Yeye na Mungu wake kwa waliotoa waweke tumaini kwa Muumba kwa vyovyote vile Mungu atawalipa, kama yupo kwa ajili ya dhihaka hakika Mungu hadhihakiwiHuyu Jamaa atakuja tena leo sio mwisho wake leo atachukua next time anakuja na ID nyingine kuomba msaada the same person on another ID ushanielewa?
Umeaongea kitu kikubwa sana..Big upUkianza biashara japo ndogo, ondowa kabisa mawazo ya "kujaribu" iwe kwenye nia yako kabisa kuwa hiyo ndiyo kazi yako kwa sasa na unafanya jitihada na ubunifu kuikuza kila kukicha.
Ukisema unajaribu, ni heri usiifanye kabisa.
Haupo Mbagara Wewe usiwachezee watu Akili Sawa unavyoona wew
Basi asubirie kutia huruma hivyo hivyo tuongezee idadi ya Mashoga wanaogongwa nyumaYaani wwe unataka kila kijana atembeze kahawa kama wwe!!
Sijawahi kuomba hata 50 jf na haitakaa itokeeAcha hizo gia mkuu weka nawe namba yako tukutumie hela ,don't go around the bush
ushaona kila mtu anaeza gongwa..jiheshimu mkuuBasi asubirie kutia huruma hivyo hivyo tuongezee idadi ya Mashoga wanaogongwa nyuma
Mkuu kama upo Dar nenda sehemu inaitwa Mchikichini utakuta viwanda vya kashata na vijana wamejiajiri hapo kwa mtaji.mdogo na wanaendesha familia zao kama kawa.Yaani wwe unataka kila kijana atembeze kahawa kama wwe!!
Nasemaje huyu mwamba hii ni mara ya pili anakuja na sio mara ya Mwisho atakuja tena na ID nyingine just wait and see same person on another ID and I don't like this at all, huu ni ujinga Vijana acheni usenge mnatembeza bakuri Wewe una kila kiungo unashindwa kufanya kazi hata ya kubeba mizigo?Yeye na Mungu wake kwa waliotoa waweke tumaini kwa Muumba kwa vyovyote vile Mungu atawalipa, kama yupo kwa ajili ya dhihaka hakika Mungu hadhihakiwi
Wewe Mbwa uliniudhi kishenzi siku Ile Mimi ndio niliekusaidia sikujali km ni kweli au sio kweli Ila tabia yako sijaipenda Mbwa Weweushaona kila mtu anaeza gongwa..jiheshimu mkuu
Jamaa anafanya JF ndio sehemu ya kuziokota sababu JF kumejaa wasiojitambua au sio?Mkuu kama upo Dar nenda sehemu inaitwa Mchikichini utakuta viwanda vya kashata na vijana wamejiajiri hapo kwa mtaji.mdogo na wanaendesha familia zao kama kawa.
MCHICHA ULIANZA KAMA MBUYU
Elewa kwamba sio huyo unaemfahamu mm nipo na shida zingine kabisa na lengo halikuwa kuchangiwa bali kuitiwa kibarua kilipoWewe Mbwa uliniudhi kishenzi siku Ile Mimi ndio niliekusaidia sikujali km ni kweli au sio kweli Ila tabia yako sijaipenda Mbwa Wewe
Na pia angekuwa anatembeza kahawa asingelalamika njaaYaani wwe unataka kila kijana atembeze kahawa kama wwe!!
Sasa kwanini umekuja na Gia Ile Ile ya kwamba una shida ya Kula Wewe Mbwa unadhani sijakugundua?Elewa kwamba sio huyo unaemfahamu mm nipo na shida zingine kabisa na lengo halikuwa kuchangiwa bali kuitiwa kibarua kilipo
Ila mkuu don't be hard on himJamaa anafanya JF ndio sehemu ya kuziokota sababu JF kumejaa wasiojitambua au sio?
Nimependa tu wadau walivyo na ushirikiano humu na walivyo serious binafsi nimeguswa na watoaji kwa moyo wao Mungu awaongezeeNasemaje huyu mwamba hii ni mara ya pili anakuja na sio mara ya Mwisho atakuja tena na ID nyingine just wait and see same person on another ID and I don't like this at all, huu ni ujinga Vijana acheni usenge mnatembeza bakuri Wewe una kila kiungo unashindwa kufanya kazi hata ya kubeba mizigo?
Aina noma mkuu sina la kusemaSasa kwanini umekuja na Gia Ile Ile ya kwamba una shida ya Kula Wewe Mbwa unadhani sijakugundua?
Vipi kuhusu simu😀😀Assalam Allaykum..
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni... Daaah maisha haya... Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB:Kuhusu bando natumia tunnel vpn
No Hawa watu hawasaidiki utamsaidia leo atafanya Mchezo kesho kesho kutwa anarudi na ID nyingine kuja kupitisha bakuri kwa hio unakua km Mchezo wake na alihisi kwamba sitamshtukia siku Ile kaja na Gia hii hii na leo kaja na Gia hii hii Ila ID tofauti mtu ni yule yuleIla mkuu don't be hard on him
Tafuta kazi hata ya kubeba mizigo sokoni acha kujirahisisha hivyo utaombaomba mpaka lini?Aina noma mkuu sina la kusema