Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Nimependa msimamo wako bro, wachina wana msimamo kama wako na ndio maana wameendelea.Simsaidii hata asie na chochote acheni ufala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa msimamo wako bro, wachina wana msimamo kama wako na ndio maana wameendelea.Simsaidii hata asie na chochote acheni ufala
Kwa Sasa daressalam sio mji salaama kwa mtu anaejitafutaAssalam Allaykum,
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni.
Daaah maisha haya. Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB: Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Laiti mungejua umuhimu wa smart phone katika kutafuta kazi connection na msaada waharaka msinge mshauri, hivo, usiuuze simu buana achana nao hao,Nakazia.
Auze smartphone anunue kiswaswadu.Swali dogo tu,hivi kati ya ombaomba mwenye smartphone na ombaomba wenye kiswaswadu yupi utamsaidia?
MUNGU anabariki kazi fanya kazi acha kua omba omba MUNGU habariki maombi acheni ufala nyinyi mafalaNimependa msimamo wako bro, wachina wana msimamo kama wako na ndio maana wameendelea.
1.BachelorJipambanue na taarifa zako mfano
1.Level of education
2.Gender
3.Ujuzi wako
4.Uzoefu
5.Location
6.Sifa ya nyongeza ambayo inaweza kukuuza
Acha ufala na Wewe umetuma kiasi gani cha muamala Wewe Fala si umchangie smartphone nyingineLaiti mungejua umuhimu wa smart phone katika kutafuta kazi connection na msaada waharaka msinge mshauri, hivo, usiuuze simu buana achana nao hao,
mkuu upo mkoa gani.... kama upo town na una simu unakwama wapi maana nimesoma ulichoandika huna chaguo lingine mm napenda sana kushauri mtu afanye biashara ya genge....... ingia sokoni nunua karoti hoho bamia na nyanya chungu hivi vitu ukiwa na 30k una mtaji mkubwa sana...... usiniulize mtaji upate wapi wakati una simu.Assalam Allaykum,
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko lakini hola nimezurura hadi nimeona ntakuja anguka njiani bure nimekimbilia geto kujilaza nisikilizie tumbo linavyounguruma taratibu ndo nimekumbuka ningekuwa jela muda huu nna uhakika ningekuwa nimeshatia chochote mdomoni.
Daaah maisha haya. Nisimalize maneno ndugu zanguni kwa mwenye kibarua chochote unikumbuke. mawasiliano 0711406248
NB: Kuhusu bando natumia tunnel vpn
Kwahiyo.mitandaoni ndo sehemu ya kupatia kazi,muda anaotumia kuchati hapa jf angezunguka mtaani na angepata kibarua .Laiti mungejua umuhimu wa smart phone katika kutafuta kazi connection na msaada waharaka msinge mshauri, hivo, usiuuze simu buana achana nao hao,
wazo lako nimelipenda nalifanyia kazmkuu upo mkoa gani.... kama upo town na una simu unakwama wapi maana nimesoma ulichoandika huna chaguo lingine mm napenda sana kushauri mtu afanye biashara ya genge....... ingia sokoni nunua karoti hoho bamia na nyanya chungu hivi vitu ukiwa na 30k una mtaji mkubwa sana...... usiniulize mtaji upate wapi wakati una simu.
ukishapata mtaji jitahidi uamke mapema sana mpaka ikifika saa tatu umeahafungasha mzigo wako kwa mchanganuo utakaoona utakupa faida zunguka mtaani kwa mama lishe hoteli ndogo ndogo huwezi kosa kuuza.
dalili za kuyashindwa maisha ni kukosa namna ya kupata chakula na dalili za uzezeta ni kuona vijana wanapambana kwa mitaji isiozidi 30k na wanaishi ww unaingia mtandaoni kuomba msaada wa ajira
Ongezea1.Bachelor
2.Male
3.management skills(logistic and Transport
4.fresh
5.Dar as salaam mbagala
6.phone repair
Hayo yata muozea bure hiyo sio biashara wakina mama hapa mtaani wanazunguka na michicha mpaka yanakauka.mkuu upo mkoa gani.... kama upo town na una simu unakwama wapi maana nimesoma ulichoandika huna chaguo lingine mm napenda sana kushauri mtu afanye biashara ya genge....... ingia sokoni nunua karoti hoho bamia na nyanya chungu hivi vitu ukiwa na 30k una mtaji mkubwa sana...... usiniulize mtaji upate wapi wakati una simu.
ukishapata mtaji jitahidi uamke mapema sana mpaka ikifika saa tatu umeahafungasha mzigo wako kwa mchanganuo utakaoona utakupa faida zunguka mtaani kwa mama lishe hoteli ndogo ndogo huwezi kosa kuuza.
dalili za kuyashindwa maisha ni kukosa namna ya kupata chakula na dalili za uzezeta ni kuona vijana wanapambana kwa mitaji isiozidi 30k na wanaishi ww unaingia mtandaoni kuomba msaada wa ajira
Fanya nilichokwambia hapo juunaweza
nielekeze ofisini nije navyo vyote hivyoOngezea
7. Namba ya simu ya Mjumbe wa nyumba 10 tumuulize km anakutambua
8. Jina la mtaa na Namba ya nyumba unapoishi
9. Namba ya Wazazi wako tuulize je wanajua hali unayoipitia
10. Namba ya rafiki/ndugu wa karibu tumuulize unayopitia je anayafahamu
11. Jina lako kamili km lilivyo kwenye kitambulisho cha NIDA
12. PASSPORT SIZE iliyopigwa hivi karibuni
kuna sehemu nimeandika mchicha hapo? jf bhana😂😂😂😂Hayo yata muozea bure hiyo sio biashara wakina mama hapa mtaani wanazunguka na michicha mpaka yanakauka.
Weka hapa hapa km Wewe kweli una Nia ya kweli ya kutaka kusaidiwanielekeze ofisini nije navyo vyote hivyo
Nna nia ya kusaidiwa kazi sio pesaWeka hapa hapa km Wewe kweli una Nia ya kweli ya kutaka kusaidiwa
Weka hapa nilichokwambia uweke usaidiweNna nia ya kusaidiwa kazi sio pesa
hivyo ntavipeleka sehemu ya kazi ikipatikanaWeka hapa nilichokwambia uweke usaidiwe
Weka hapa nimekwambiahivyo ntavipeleka sehemu ya kazi ikipatikana
Yeye ameomba msaada wa kibarua sasa wewe unafoka Nini? wewe Ni kapuku tu ndio maana unajadhiba Bila sababu ya msingi, kifupi wewe Ni useless na huu uzi haukuhusu maana hauna msaada kimawazo Wala kihali.Acha ufala na Wewe umetuma kiasi gani cha muamala Wewe Fala si umchangie smartphone nyingine