Ndugu zangu upande wa baba wanainua vita kali juu yangu

Mkuu hii ishu atanielewa mtu ambae imeshamkuta au kushuhudia kWa wapendwa wao,vinginevyo nitaonekana najimwambafai au natafuta attention πŸ’”πŸ’”πŸ’”
 
Pole sana mamy, zidisha maombi na mapambano ya kiuchumi.
NB:kamwr usithubutu kuwekeza nguvu za kupambana nao.
 
Mungu alivyomwingi wa rehema akanibariki nikafanikiwa kujenga kijumba kidogo kwa ajili ya wazazi wangu (nikamrudisha kwanza baba nyumbani) baada ya baba kurudi vita vya ndugu vikaibuka
Pole sana mkuu.
Huwa ni kawaida sana ndugu(wa kiafrika) wakikaa au kuishi eneo moja wanakuwa kama glasi kwenye sinia...vijimaneno na ugomvi mdogo mdogo huwa haviishi.

Suluhisho ni kumwomba Mungu aendelee kukubariki ujenge makazi ya familia yako mbali na hao ndugu wa baba yako.

Nb. Hao ndugu ni hazina muhimu sana kwako kwenye haya maisha. Waepuke kwenye madhaifu yao lakini katu usijitenge nao.
 
Utibeli ndio dawa pekee ya magonjwa Yote.
Dua mbaya ndio kichocheo cha mafanikio yako kwa muumba.

Achana nao. Wape Haki yao kwa kuwaweka kundi wanalostahili
 
Uli
Ulichokosea ni kujenga karibu na ndugu zake, unatakiwa ujenge mbali kabisa ambapo mtu mpaka apande daladala.
 
Mkuu hivi vitu ulivyo vi list sipingi

Personally nimeshuhudia kwenye jamii zetu hizi

Mungu atuongoze
 
Huyu kayakanyaga Mwenyewe kwa sababu ianonekana anapenda kurushiana nao maneno lazima wamvuruge tu. Mpaka anakuja humu washamvuruga abadirike aache kujibizana nao hiyo ndio last solution's
It possible!!!! aache maneno,

Akiacha kurushiana maneno, maneno yatakoma.

Mbinu za vita ni nyingi mojawapo ni kukaa Kimya.
 
Kabisa yani! Kama mimi huwa sitakagi maneno mengi wala kelele kabisa ikitokea suala la familia natulia bila kelele naact afu sina muda wa kupigizana kelele.


Cc Smart911
Siku maslahi yako ya kiguswa au vile vitu ambavyo ni worth kwako utajijua vizuri wewe ni mtu wa aina gani

Personally nilikuwa kama wewe before sijakutana na mambo ya hovyo na siblings
 
Siku hizi mambo ya baba mdogo sijui watto wa baba mkubwa, yanapotea kwenye familia nyingi sana

Imebaki familia ni baba,mama na ndugu wa kuzaliwa.

Hilu nazidi kuliona sehemu nyingi.
Bora ibaki tu hivyo mkuu kuliko kuwa na ndugu wanakufanyia mambo ya ajabu
 
Kabisa unajua familia iki extend conflict nazo zinaongezeka

Mwisho kama mtoto usipokuwa makini unaingia kwenye mkumbo huo wa ndugu wa wazazi.
Yeah ni kweli, unaweza jikuta umefanywa mbuzi wa kafala huelewi usimame upande upi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…