Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu kwa kutukumbusha
Ubarikiwe sana
Hunijui mkuu nje ya jf watu tuna familia tupo tofauti kabisa[emoji23][emoji23] kama utafuata ushauri vile...najua hapa anapigia mbuzi gitaa
Ahaahah ndio nashangaa mume wa mtu
Hunijui mkuu nje ya jf watu tuna familia tupo tofauti kabisa
Ukiingiliwa na Condom unasikia utamu...Mi najiuliza tu...ukimpima mtu leo then mkaenda sex, je kama aliupata 3 days back na kipimo hakiwezi kuonesha!
Condom ndo the best asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimpeleka dadaangu clinic...sehemu ya chanjo kwa wamama wajawazito ni karibu na wanapochukulia dawa...mkuu watu wanakata kamba balaaaa watu wanakunywa aya madude nendeni hospital mkaone folen watu wanavochukua dawa huwez amin yaan ni watu wengi kinoma yaan ukiwaona utajifunza kitu na umalaya lazima uache
Ukienda CTC ndio rahisi kuelewa vinginevyo ni ngumu sanaMungu akubariki mleta mada
manesi ndo wanajua hali halisi ikoje acha tu yaan watu wanabugia yale madude sio masyala madawa yanakuja kwa mafurushi lakin yanavoisha huwez aminNilimpeleka dadaangu clinic...sehemu ya chanjo kwa wamama wajawazito ni karibu na wanapochukulia dawa...
Kuna watu kama kumi wa kitaa niliwaona pale asee sikuamini kabisa!...hiyo nyomi sasa[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa ana hii ishu....sasa siku namuuliza mbona hana wasiwasi huu ugonjwa hauumizi?Na sio foleni ya watu wengi tu...ni foleni ambayo imejaa mabrazamen na masistaduu wakali ambao huwez kuamini ni wagonjwa jinsi walivyopendeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali mkuu uwe na amani mambo ni poa sijui upande wakoNinajua mkuu nilikuwa ninatania tuu hata hivyo usijisikie offended, mamb vp lakin??
Sio kweli mkuu...anko angu anagonga mwaka wa 14 huu...anakula arv na yuko fit kinoma!Nasikia ukianza arv ndo umejipalilia,unatakatika ghafla kama umeme wa tanesco..
Tujichunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu...anko angu anagonga mwaka wa 14 huu...anakula arv na yuko fit kinoma!
Sema anatembeza dudu balaa...wale watu hawataki kuondoka peke yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaaan hapo ndo napochoka!Hii nayo unafikiri inasaidia sana anaweza kuja leo na vipimo mkacheki kumbe wiki mbili nyuma alikutana na mtu na vipimo huwa ndani ya miezi miwili ya mwazo hakionyeshi maambuki kama mtu anakuwa amepata hivyo katika hicho kipindi kama alipata maambukizi anakupasia.
Una swali nzuri ngoja tusubiri wajuzi watusaidieMi najiuliza tu...ukimpima mtu leo then mkaenda sex, je kama aliupata 3 days back na kipimo hakiwezi kuonesha!
Condom ndo the best asee
Sent using Jamii Forums mobile app