witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Jf kila mtu sio fuska[emoji16][emoji16]Huu uzi ni mchungu sana kwa mafuska!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf kila mtu sio fuska[emoji16][emoji16]Huu uzi ni mchungu sana kwa mafuska!
Kwa Sasa hali ilivyo kuwa mbaya bora kupima hakuna namnaAna hela vibaya mnoo, hanywi pombe, havuti fegi, anakula vizuri, hana mke ( alifariki)...ila dudu sasa analitembeza vibaya vibaya na mademu hawajui kama yuko kwenye chain ( haonyeshi), kibaya zaidi hawajali...wanaangalia mpunga tuu!
Ila wadada wa dar kwa kujilipua mmhhh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Braza kak tuulize sisi tunaofanya data clack warter reed tupo vituon tunaingiza takwim we kam upo porin shauri yako kwan vituo nya afya ujui amasehemu gani iyo ya kuchukuwa dawa?
Namwambia kujipima home!...hospital miyeyusho sana yaan wale manesi hawana customer care!Kupima sio kazi,kuchukua majibu best
Kupima na kutumia condom vyote viende sambamba....usimuamini binadamu hata siku moja!Kwa Sasa hali ilivyo kuwa mbaya bora kupima hakuna namna
Nakumbuka kitaa walikuwa wale wa damu salama nikaenda kujitolea tulipewa majibu watu wanne palepale hatari 😄😄😄😄Namwambia kujipima home!...hospital miyeyusho sana yaan wale manesi hawana customer care!
Watu wanatokaga mle wanaangua vilio kama nini!
Nasikia wakikupima siku hizi hupewi admonition wala at least well recommendation about a certain disease!...Ni unamwagiwa majibu hapo ukajiju[emoji848]...too bad
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tishio kama hujaupata.Ngoja uukwae ndio utajua namna gan h.i.v haifanan na gonjwa lolote lileHuu uzi utakua na idadi kubwa sana ya watazamaji lkn itakosa wachangiaji...
Anyway ni kawaida yetu hatutak kuambiwa ukweli...
Asante mkuu kwa kutukumbusha ukweli huu mchungu japo HIV sio miongoni mwa magonjwa tishio tena kama ilivyokua hapo awali
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea kama yamekukuta.Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.
tujihadhali, ukimwi bado upo,
Pumbavu X 1000 wewe.acheni kudanganyana ukimwi ni propaganda za wazungu wakina Robert Gallo.nani kashawahi kumuona H.I.V kwenye maisha yake aseme hapa yukoje .hakuna kitu kinachoitwa HIV.ukimwi ni imani kama imani nyingine tu but its not real
Nikiumwa huu ugonjwa najimaliza tu, siwapi nafasi virusi wanitese.HIV inafedhehesha jamani...hasa ukianza kuugua halafu kila mtu anajua...
Tujichunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa zipo za kurefusha maisha.Nikiumwa huu ugonjwa najimaliza tu, siwapi nafasi virusi wanitese.
Binafsi naamini dawa hizo zina side effect zake. Na nafsi yangu inakataa kunywa vidonge hivyo vikubwa kila siku ya siku zangu zilizobaki.Dawa zipo za kurefusha maisha.
Asante kakaUkienda CTC ndio rahisi kuelewa vinginevyo ni ngumu sana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu Kuna magonjwa yanatesa zaidi ya HIV, na mbaya zaidi hayana Dawa hata za kufariji.Binafsi naamini dawa hizo zina side effect zake. Na nafsi yangu inakataa kunywa vidonge hivyo vikubwa kila siku ya siku zangu zilizobaki.
Sishawishi watu waniige, ila mimi nikiukwaa siwapi nafasi virusi wanitese kwa ujumla.
Sister Kuna swali naomba utusaidie kujibuAsante kaka
Mkuu sio kwa kumchunguza namna hii dada yako..... Ana shape nzuri na mwili wake umenawiri kama binti alieanza kubalehe, matiti yake bado yamesimama pamoja na umri wake......
Mkorintho wa 6
Aisee....
Sky EclatMi najiuliza tu...ukimpima mtu leo then mkaenda sex, je kama aliupata 3 days back na kipimo hakiwezi kuonesha!
Condom ndo the best asee
Sent using Jamii Forums mobile app