Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Have a Faithful partner
Abstain from Sex
Use Condom
Choose Wisely
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu atakufa ghafa virus havihitaji ngono zembeSio kweli mkuu...anko angu anagonga mwaka wa 14 huu...anakula arv na yuko fit kinoma!
Sema anatembeza dudu balaa...wale watu hawataki kuondoka peke yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah una maneno yenye kutia faraja na mazuri mkuu..Ukimwi haupimwi kwa siku moja brother, Je unafahamu kuwa CD4 zikipanda mwenye virus anaweza kupima na akaonekana mzima? Waliopata ukimwi wote hawakupenda na pengine walijitunza sana kuliko wewe.
Ukimwi hautabiriki, na sikuizi kuna njia nyingi za kupunguza kasi ya virus kishambulia seli lakini hiyo haimaanishi hauwezi kuenea kama ngono zitafanyika kizembe namna hiyo.
Kuna dada tunaheshimiana sana na huwa ananiomba ushauri mara nyingi akipata tatizo. Yeye anaishi na virus vya ukimwi kwa miaka mingi sana lakini ukimuona huwezi kumjua na ameumbika haswaa.
Kuna tembe fulani zinaitwa PEP na PREP, hizi zinatumika kuzuia maambukizi pia mama wajawazito wenye maambukizi hutumia dawa hizi kumkinga mtoto dhidi ya maambukizi.
Aliniambia yeye huwa akizitumia dawa hizo Japo ni mwathirika lakini ukimpima akiwa ameshatumia dawa hizo huwezi kupata reaction kwamba yeye ni HIV +. Kuna jamaa ameishi naye kama mchumba wake kwa muda sana bila kujua mwanamke ni mgonjwa maana walienda kupima akaonekana ni mzima.
Kwaiyo cheza salama lakini ikitokea bahati mbaya umepata maambukizi sio mwisho wa maisha, sikuizi wenye ukimwi wanaishi maisha marefu pia ukipima ukawa salama usijiamini sana kwamaana leo wewe ni mzima kesho utakua mgonjwa, kuugua sio kufa.
Nina dada yangu wa tumbo moja alipata maambukizi hayo mwaka 1993 kipindi ambacho Ukimwi ulikua ni tishio sana, amezaa watoto wanne (4) na wote wako salama. Hajawai kuwanyonyesha lakini wote wamekua.
Leo hii tunaongea ametimiza miaka 26 akiwa na HIV lakini ukikutana naye pamoja na kuwa ni mgonjwa huwezi kuamini. Ana shape nzuri na mwili wake umenawiri kama binti alieanza kubalehe, matiti yake bado yamesimama pamoja na umri wake.
Kama Mzima mshukuru Mungu na uache zinaa na kutamani wanawake wazuri, shetani hupenda kukaa sehemu nzuri.
Mkorintho wa 6
Nasikia pia kama unao kabla ya kupima ukinywa Pepsi vipimo vinatoka Safi huna.
propaganda ndio zipoje chief?Hakuna ukimwi ni propaganda tu za wazungu
Sent from my iPhone using JamiiForums
AIDS je?acheni kudanganyana ukimwi ni propaganda za wazungu wakina Robert Gallo.nani kashawahi kumuona H.I.V kwenye maisha yake aseme hapa yukoje .hakuna kitu kinachoitwa HIV.ukimwi ni imani kama imani nyingine tu but its not real
sawa ila unakufanya uwe dhaifu, unaweza ukapata scrach kidogo kikaja kuwa kidonda kikubwa kikashindwa kupona kikakumaliza.Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) tangulini uka ua mtu.!!???? Ni kama kusema Upungufu wa Mbegu za Kiume eti una ua mtu, uliwahi ona wapi.??
MGC
wanasema condom inazuia maambukizi kwa 99%Write your reply...hivi ukiwa mgongaji sanaa mademu mbalimbali, wanaojiuza nk lakin unatumia ndom pia unapata?
Haaahaaa[emoji16][emoji16] we jamaa...jipime tu kwanza vipimo si viko pharmacyMkuu naomba dalili za kujua ninao tafadhali????? Kabla atujaenda huko hospital
Suala hapa sio utamu bali afya!
Kupima sio kazi,kuchukua majibu bestHaaahaaa[emoji16][emoji16] we jamaa...jipime tu kwanza vipimo si viko pharmacy
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado na condom wanasema sio 100% guarantee [emoji848]Una swali nzuri ngoja tusubiri wajuzi watusaidie
Abstain from sex ndo ya uhakika...ila ngumu hiyoo[emoji16]Have a Faithful partner
Abstain from Sex
Use Condom
Choose Wisely
Hakika mama mungu atuepusheBado na condom wanasema sio 100% guarantee [emoji848]
Ni kumuomba Mungu tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kutoa darsa!Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.
tujihadhali, ukimwi bado upo,
Ana hela vibaya mnoo, hanywi pombe, havuti fegi, anakula vizuri, hana mke ( alifariki)...ila dudu sasa analitembeza vibaya vibaya na mademu hawajui kama yuko kwenye chain ( haonyeshi), kibaya zaidi hawajali...wanaangalia mpunga tuu!Huyu atakufa ghafa virus havihitaji ngono zembe
Hivooo?...sasa kama unaenda kupima na mchumba?...hatareeNasikia pia kama unao kabla ya kupima ukinywa Pepsi vipimo vinatoka Safi huna.