Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

Daah una maneno yenye kutia faraja na mazuri mkuu..

Barikiwa[emoji120]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
acheni kudanganyana ukimwi ni propaganda za wazungu wakina Robert Gallo.nani kashawahi kumuona H.I.V kwenye maisha yake aseme hapa yukoje .hakuna kitu kinachoitwa HIV.ukimwi ni imani kama imani nyingine tu but its not real
AIDS je?
 
Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) tangulini uka ua mtu.!!???? Ni kama kusema Upungufu wa Mbegu za Kiume eti una ua mtu, uliwahi ona wapi.??

MGC
sawa ila unakufanya uwe dhaifu, unaweza ukapata scrach kidogo kikaja kuwa kidonda kikubwa kikashindwa kupona kikakumaliza.
 
Write your reply...hivi ukiwa mgongaji sanaa mademu mbalimbali, wanaojiuza nk lakin unatumia ndom pia unapata?
wanasema condom inazuia maambukizi kwa 99%
hiyo 1% inatosha kabisa kukupa.
 
Asante kwa kutoa darsa!
 
Huyu atakufa ghafa virus havihitaji ngono zembe
Ana hela vibaya mnoo, hanywi pombe, havuti fegi, anakula vizuri, hana mke ( alifariki)...ila dudu sasa analitembeza vibaya vibaya na mademu hawajui kama yuko kwenye chain ( haonyeshi), kibaya zaidi hawajali...wanaangalia mpunga tuu!

Ila wadada wa dar kwa kujilipua mmhhh!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…