Ndugu zangu vijana, UKIMWI unatafuna watu na sio wanyama

acheni kudanganyana ukimwi ni propaganda za wazungu wakina Robert Gallo.nani kashawahi kumuona H.I.V kwenye maisha yake aseme hapa yukoje .hakuna kitu kinachoitwa HIV.ukimwi ni imani kama imani nyingine tu but its not real
Curiosity killed the cat...ukimwi upo na naamini ushagusa kila familia hapa Tanzania.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mkuu hongera kwa ushuhuda lakini huyo dadako ndo yupo ktk pick ya umri sasa ndiyo maana unamuona yupo mzuri zaidi. However, aliwai sana kuzaa which is good.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Pepo lilitoka?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mkuu Kuna magonjwa yanatesa zaidi ya HIV, na mbaya zaidi hayana Dawa hata za kufariji.
Ndio hivyo. Ukiumwa homa ya maini au kansa jamii inakuonea huruma ila ukimwi jamii inakutenga. Msongo wa mawazo na upweke ni mkubwa zaidi ya hayo magonjwa mengine. Pia picha iliyojengwa kuhusu huu ugonjwa.
Wale wagonjwa msifuate mawazo yangu.
 
Kuwa makini zaidi , siku hizi kuna kinywaji ukinywa kama ni positive.kile kipimo kinakuonyesha upo negative.
Njia nzuri ya kumpima mtu ni lala nae usiku kucha ai shinda nae mchana hakikisha hanywi COCACOLA, Mda wa masaa ata 12 mkiamka asubuhi mkapime.
Mgonjwa wa HIV akinywa cocacola kipimo kinaonyesha negative.
Na hiyo njia waathirika wengi wanaijua hivyo ukimwambia kupima anatoka nyumbani akiwa kajishindilia cocacola akifika kupima unakuta negative
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwi upo jamani. Kuna siku Nilikwenda pale Sinza palestina kumwona Dr mmoja. Sasa office ya yule Dr inaangaliana na lille Jengo waathirika wanachukua Dawa. Nilimkuta jirani yangu anawapa elimu wenzake kutosahau kunywa dawa. Tena anasema "binti yangu huwa ananikumbusha baba dawa maana nilishamweleza awe ananikumbusha "Mara paapu tukakutanisha macho mweh alibadili somo akaanza kuongea vitu vingine tu. Tena pale mtaani walikuwa wanasema kaungua yule
Siku ile ndo niliamini
Jamani HIV is real. Chezeni salama
.
 
Mi najiuliza tu...ukimpima mtu leo then mkaenda sex, je kama aliupata 3 days back na kipimo hakiwezi kuonesha!

Condom ndo the best asee

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo ndipo vijana tunapoangamia. Baada ya kumpima hutoona vidudu ndani ya siku alizoupata. Utataka umuoneshe kuwa wewe sio mwanaume wa Dar na cha mkongo utapakaa ili usugue K dakika 45 bila kukojoa.

Mwanamke akikauka tu katikati ya safari ujue umechubuka! Na yale majimaji ya ukeni yakishapenya tu kwenye ngozi ujue umeenda na maji!
 
Sio tishio kama hujaupata.Ngoja uukwae ndio utajua namna gan h.i.v haifanan na gonjwa lolote lile
Mkuu umenena vizuri...

Kuna dada mmoja shost alinambia kabisa kuwa hiyo ni noma sana!

Kwanza vile vidonge ni vikubwa halafu vichungu, pili ukilala ni unaota ndoto mbaya kupita kiasi, mfano unaota uko jehanam unachomwa moto, au unakatwa katwa mapanga, ukiumwa kidogo tu hata kama mafua full kukupelekesha kama umeumwa kitu kikubwa!....kiufupi alisema ni ule ugonjwa ni balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu ukiambiw ahuyu ni mgonjwa utakataa hata kw angumi hutakubali.....ukianz akukohoa, kukata weight, kunyonyoka nywele kama ile picha iliyowekwa juzi hapa jukwaani, ukianza kuota mapele na madonda yasiyooisha....ukurutu na upele, TB aaghh acheni jamani hii kitu ni hatari sana sana.
 
Mkuu hapo kwenye kulala nae si hatari kabla ya vipimo
 
Duh, aisee sikuwahi kulijua hili mkuu...kweli jf ni darasa huru aisee!
 
Kuna watu ukiambiw ahuyu ni mgonjwa utakataa hata kw angumi hutakubali.....ukianz akukohoa, kukata weight, kunyonyoka nywele kama ile picha iliyowekwa juzi hapa jukwaani, ukianza kuota mapele na madonda yasiyooisha....ukurutu na upele, TB aaghh acheni jamani hii kitu ni hatari sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…